Upo vizuri kwenye kitu gani hasa?

Upo vizuri kwenye kitu gani hasa?

Eneo la Elimu basi na shaka niko vizuri ila bado naendelea kunoa shoka zaidi .

Public speaking hapo nadhani nilizaliwa toka tumboni maana jinsi idadi ya watu inavyokuwa kubwa ndio naona kama namsukuma mlevi vile .

Kutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.

Ngumi nilishwahi jifunza ndondi pia nafundisha ndondi kwa begginers

Kazi iendelee
 
Eneo la Elimu basi na shaka niko vizuri ila bado naendelea kunoa shoka zaidi .

Public speaking hapo nadhani nilizaliwa toka tumboni maana jinsi idadi ya watu inavyokuwa kubwa ndio naona kama namsukuma mlevi vile .

Kutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.

Ngumi nilishwahi jifunza ndondi pia nafundisha ndondi kwa begginers

Kazi iendelee

When you have that skill....
You’ll know when, where and what to speak.
 
smoking
20210626_223059.jpg


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hauko peke yako, 😂 mimi mpaka niliambiwa nawaringishia meno eti. Mimi nakenua jamani uwiii, siwezi kukusalimia bila kutabasamu
Yani ningekuwa wa kike huenda wangesema labda nina chekelea .

Tabasamu ni dawa
Let smile .
 
Back
Top Bottom