Kilaza Jr
Member
- Dec 28, 2019
- 28
- 34
Eneo la Elimu basi na shaka niko vizuri ila bado naendelea kunoa shoka zaidi .
Public speaking hapo nadhani nilizaliwa toka tumboni maana jinsi idadi ya watu inavyokuwa kubwa ndio naona kama namsukuma mlevi vile .
Kutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.
Ngumi nilishwahi jifunza ndondi pia nafundisha ndondi kwa begginers
Kazi iendelee
Public speaking hapo nadhani nilizaliwa toka tumboni maana jinsi idadi ya watu inavyokuwa kubwa ndio naona kama namsukuma mlevi vile .
Kutabasamu nadhani ni Pro Max maana Arusha napata tabu yani watu kutabasamu wanashangaa sana.
Ngumi nilishwahi jifunza ndondi pia nafundisha ndondi kwa begginers
Kazi iendelee