Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

Umeropoka Sasa Hayo aongelee Nini?? Wakati maaskofu Wapo halafu Ni jinai za Watu binafsi. Kuwa na Akili
 
Instanbul ni kweli kabisa tatizo lililopo ni ushabiki badala ya kuchambua au kujibu hoja. Kama tungekuwa tunachambua na kujibu hoja tungejua ni kwa kiasi gani mambo aliyoongea Kitima yana uzito gani na manufaa gani. Tujifunze kuwa wachambuzi na siyo mashabiki.
 
Hongera sana Baraza la Maaskofu Katoliki Tz
Hongera sana REV Kitima
Uovu umeshindwa kwa jina la Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
 
Sadaka kanisa katoliki parokia ngorongoro zimepungua baada ya masai kuhamishwa
Lazima apige yowe

Ina maana hao waliobaki wakiondoka makanisa katoliki yanatakiwa kufungwa ngorongoro
Conflict of interest
Si watahamia sehemu nyingine, kwani wakihama Ngorongoro wanakoma kuwa wakatoliki?

Mbona hoja yako ni ya kijinga sana? Una miaka mingapi na umesoma mpaka la ngapi?
 
Vipi mkuu anayokemea anakosea au yuko sahihi.

Wewe pia una wajibu ya kutetea au kukemea mazuri au mabaya yanayofanywa na yeyote, kwahiyo Pd. Kitima asipangiwe cha kukemea au kutetea.
 
Sadaka kanisa katoliki parokia ngorongoro zimepungua baada ya masai kuhamishwa
Lazima apige yowe

Ina maana hao waliobaki wakiondoka makanisa katoliki yanatakiwa kufungwa ngorongoro
Conflict of interest
Kwahiyo wakiondoka Ngorongoro Wamasai wanabadilisha dini? Kwani huko wanapohamia hapawezi kujengwa makanisa na sadaka zikaendelea kuchangwa?
 
Waislamu ngorongoro masai wapo ila sababu huwa wauslamu hawakusany9 sadaka misikitini ndio maana hujaskia Mufti akiongea .Katoliki waathirika wa sadaka nfio wanaongea
Hivi wamasai wanaenda kanisani au mskitini?ushawaona hospital....ushawaona parokia yako tuonge ukweli?
 
Si watahamia sehemu nyingine, kwani wakihama Ngorongoro wanakoma kuwa wakatoliki?

Mbona hoja yako ni ya kijinga sana? Una miaka mingapi na umesoma mpaka la ngapi?
Kuna mtu kasoma mpaka eti ana phd, kageuza binocular nyuma mbele hukoo πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Acha ukuda basi wewe!
 
Sadaka kanisa katoliki parokia ngorongoro zimepungua baada ya masai kuhamishwa
Lazima apige yowe

Ina maana hao waliobaki wakiondoka makanisa katoliki yanatakiwa kufungwa ngorongoro
Conflict of interest
Sikujua kuwa wamasai wote ni Katoliki
 
Duh kweli kichaa anachekesha kama sio ndg yako wa damu. Hivi kuna binadamu mwenye akili timamu anaweza kushabikia raia wengine kuhamishwa, kunyimwa huduma za msingi katika maeneo yao. Au kwa vile wewe sio Mmasai na huna ndugu huko na wala huna sense ya ubinadamu ndani yako.

Sasa nikusaidie tu ndg yangu ikitokea wakafanikisha la Ngorongoro, itakuwa reference, hata hapo ulipo ipo siku patachukuliwa. Hii resistance iliyooneshwa ni msaada mkubwa sana kwa upatikanaji wa haki za raia wa nchi hii na huenda hata itapelekea kuangalia upya sheria zetu. Huwezi kulala na kuamka kuhamisha watu wako kisa tu umepata mwekezaji, hatukuelewi, eti watu wakae kimya.
 
Mleta uzi unataka Kitima ahangaike na issues za mtu mmoja mmoja au jamii kwa ujumla??
Mapadre waovu wapo lakin pia sheria zipo ziwashughulikie
 
Si watahamia sehemu nyingine, kwani wakihama Ngorongoro wanakoma kuwa wakatoliki?

Mbona hoja yako ni ya kijinga sana? Una miaka mingapi na umesoma mpaka la ngapi?
Mbona unatumia nguvu bila sababu. Kitima hajaongea Wamasai kwamba ni Wakatoliki bali anaongelea haki zao ziheshimiwe. Sasa hayo mapovu ya nini. Pitia tena hoja zake alafu jipime na hicho unachotolea povu. Tuchambue hoja siyo kutanguliza ushabiki.
 
Unajuaje kuwa hajaona unachpaswa ni ku atack hoja zake kamaczina maana au hazina maana ila si kumshambulia yeye kama yeye
 
Mbona unatumia nguvu bila sababu. Kitima hajaongea Wamasai kwamba ni Wakatoliki bali anaongelea haki zao ziheshimiwe. Sasa hayo mapovu ya nini. Pitia tena hoja zake alafu jipime na hicho unachotolea povu. Tuchambue hoja siyo kutanguliza ushabiki.
Sina hakika kama majibu yako yanahusiana na ujumbe wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…