Upofu wangu hapo kale kuhusu baadhi ya mambo

Upofu wangu hapo kale kuhusu baadhi ya mambo

Hahaa mbona wewe hujasema upofu wako momy
akhu mie upofu wangu ni wa kawaida, nilijua tu watoto wananunuliwa na wanapatika misituni
hahahahaha mie mhenga ujue maana watoto wa siku hizi wanajua vyote kabla ya miaka mitatu
 
akhu mie upofu wangu ni wa kawaida, nilijua tu watoto wananunuliwa na wanapatika misituni
hahahahaha mie mhenga ujue maana watoto wa siku hizi wanajua vyote kabla ya miaka mitatu
Ahahaaaa watoto wanapatikana mstuni wewe ndo ulikuwa kipofu zaid kuna mwingine katangulia hapo juu yeye kasema alikuwa anajua watoto walikuwa wanatokea mton
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Kuna vitu hapo kitambo vilikua vinanisumbua sana had baadaye nilipokuja kukua na kuvijua nilijishangaa sana kwakwel

Upofu wangu wa kwanza
NILIKUWA NA MPANGO WA KUJA KUOA SISTER WA KANISA KATOLIK yaan ndoto zangu zote hapo kitambo ilikuwa ni kuoa watawa wa kanisa nilikuwa navutiwa sana na mavaz yao hasa uvaaji wao wa kufunga vitambaa vyeupe kichwani. Kumbe masikn wa mungu hawa watu huwa hawaolewi wala hawazai


NILIKUWA NAJUA WALIMU HUWA HAWAEND CHOON huu nao ulikuwa ni upofu wangu mwingine katika mawazo yang yote nilikuwa najua walimu huwa hawanyi kabisa wala huwa hawaend choon hadi hapo baadae nilipokuja kujua nikabaki najishaangaa mwenyewe


NILIKUWA NAJUA UNAWEZA KUAZIMA MKE WA MTU KAMA UNAVYOAZIMA CHUMVI KWA JIRAN NA KWENDA KULALA NAYE. hapa ndo lilikuwepo tatizo kubwa sana yaan kuna mama mmoja alikuwa ameolewa na alikuwa ni mweupe sana hivo nilikuwa namuomba mungu nikue haraka ili nije niwe namwazima kwa mume wake nakwenda kulala naye yaan kupiga naye mbonji na kumuhondomola japo kwa week then namurudisha ..


Kumbe nilikuwa mpofu sana jaman ndugu zangu

Mungu anisamehe bure kwa kuwaza mambo ya kufuru kama hayo hapo zaman

Nawasilisha

Nawe waweza weka upofu wako hapa kale ukiwa mtoto

TUKUTANE HAPO IJUMAA KWENYE SHOW LA KIBABE LA BEIRA BABY BOY SHOW NIGGA


LONDON BABY
me nilikuwa najua mwalimu wa shule ya msingi ndo msomi kuliko wote waliosoma
 
hahahahahah tulidanganywa sana jamani
Tena nyie wahenga kipind hicho kulikuwa hakuna cha tv wala nini mlikuwa mnadanganywa sana aisee sio kama siku hiv vitoto vinajua kila kitu
 
Tena nyie wahenga kipind hicho kulikuwa hakuna cha tv wala nini mlikuwa mnadanganywa sana aisee sio kama siku hiv vitoto vinajua kila kitu
kulikuwa na TV wewe mkuu acha utani na wahenga wewe sema kulikuwa hakuna flat screen aisee
juzi nilimpitia sister duu mmoja R chuga nikamkuta na ile TV ya babu zetu nilicheka kweli

hakika vya kale vinadumu
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Kuna vitu hapo kitambo vilikua vinanisumbua sana had baadaye nilipokuja kukua na kuvijua nilijishangaa sana kwakwel

Upofu wangu wa kwanza
NILIKUWA NA MPANGO WA KUJA KUOA SISTER WA KANISA KATOLIK yaan ndoto zangu zote hapo kitambo ilikuwa ni kuoa watawa wa kanisa nilikuwa navutiwa sana na mavaz yao hasa uvaaji wao wa kufunga vitambaa vyeupe kichwani. Kumbe masikn wa mungu hawa watu huwa hawaolewi wala hawazai


NILIKUWA NAJUA WALIMU HUWA HAWAEND CHOON huu nao ulikuwa ni upofu wangu mwingine katika mawazo yang yote nilikuwa najua walimu huwa hawanyi kabisa wala huwa hawaend choon hadi hapo baadae nilipokuja kujua nikabaki najishaangaa mwenyewe


NILIKUWA NAJUA UNAWEZA KUAZIMA MKE WA MTU KAMA UNAVYOAZIMA CHUMVI KWA JIRAN NA KWENDA KULALA NAYE. hapa ndo lilikuwepo tatizo kubwa sana yaan kuna mama mmoja alikuwa ameolewa na alikuwa ni mweupe sana hivo nilikuwa namuomba mungu nikue haraka ili nije niwe namwazima kwa mume wake nakwenda kulala naye yaan kupiga naye mbonji na kumuhondomola japo kwa week then namurudisha ..


Kumbe nilikuwa mpofu sana jaman ndugu zangu

Mungu anisamehe bure kwa kuwaza mambo ya kufuru kama hayo hapo zaman

Nawasilisha

Nawe waweza weka upofu wako hapa kale ukiwa mtoto

TUKUTANE HAPO IJUMAA KWENYE SHOW LA KIBABE LA BEIRA BABY BOY SHOW NIGGA


LONDON BABY
Ni bora upofu umekutoka maana hiyo point namba 3 ungeendelea na upofu wako saa hizi ungeshakuwa marehemu..
 
To be honest, mi nilikuwa najua ukiposti barua, ukiingiza kwenye lile sanduku barua inaserereka mpaka kwa mlegwa. Nilidhani lile sanduku unaloingiza barua limeungwa n pipe mpaka kwa mlengwa. Dah, nilikuwa qurious sana.
 
To be honest, mi nilikuwa najua ukiposti barua, ukiingiza kwenye lile sanduku barua inaserereka mpaka kwa mlegwa. Nilidhani lile sanduku unaloingiza barua limeungwa n pipe mpaka kwa mlengwa. Dah, nilikuwa qurious sana.
hahahah mimi pia mkuu
 
kulikuwa na TV wewe mkuu acha utani na wahenga wewe sema kulikuwa hakuna flat screen aisee
juzi nilimpitia sister duu mmoja R chuga nikamkuta na ile TV ya babu zetu nilicheka kweli

hakika vya kale vinadumu
Wewe mhenga acha uongo wakati redio yenyewe mlikuwa mnaenda kusikiliza kwa mwenyekiti wa kijiji
 
Ni bora upofu umekutoka maana hiyo point namba 3 ungeendelea na upofu wako saa hizi ungeshakuwa marehemu..
Hahahahhhaa aya bhana nazan saiv ningekuwa nishafukiwa
 
To be honest, mi nilikuwa najua ukiposti barua, ukiingiza kwenye lile sanduku barua inaserereka mpaka kwa mlegwa. Nilidhani lile sanduku unaloingiza barua limeungwa n pipe mpaka kwa mlengwa. Dah, nilikuwa qurious sana.
Aisee pole sana vp kuhusu simu
 
Wewe mhenga acha uongo wakati redio yenyewe mlikuwa mnaenda kusikiliza kwa mwenyekiti wa kijiji
hahahahahahaha naona umenichoka mkuu, useme hata ile ya mkulima hatukuwa nayo sio? hahahahaha

haki umenichoka, wakati tulikuwa na redio kaseti kabisaaaa

teh teh
 
Back
Top Bottom