Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Kwa yanayoendelea Simba, hakika kama siyo utani wa jadi tungeweza kuwaalika(kuwakodi) mashabiki wa Yanga kwajili ya kutuondolea wanao cheza na akili za mashabiki wa Simba.
Kwanini nasema haya mashabiki wa Yanga linapokuja swala la viongozi kufanya madudu hawataki utani.
Amefukuzwa kocha Sawa, je yeye ndiyo alikuwa tatizo kwamba Sasa Simba inashinda mechi zake na kucheza vizuri.Jibu ni hapana,Viongozi Kwa haya hamkwepi lawama hizi hata kidogo.
Yaani ndiyo Uzi tayari huoo.
Kwanini nasema haya mashabiki wa Yanga linapokuja swala la viongozi kufanya madudu hawataki utani.
Amefukuzwa kocha Sawa, je yeye ndiyo alikuwa tatizo kwamba Sasa Simba inashinda mechi zake na kucheza vizuri.Jibu ni hapana,Viongozi Kwa haya hamkwepi lawama hizi hata kidogo.
Yaani ndiyo Uzi tayari huoo.