Upon reading these notes, you will conclude that Kibatala is a novice lawyer


SAID EL-MAAMRY​

ADVOCATE at SAID ELMAAMRY ADVOCATES​

Ila ni marehemu sasa​

 
Ulitaka Kibatala afanye nini?
 
Kibatala anatakiwa akafanye kazi nje kama south africa walau miaka miwili aone jinsi mawakili wa utetezi wanavyoweza kupangua kesi
Kesi ya mteja wa kibatala inayoweza kuchukua miezi mitatu kuisha,kwa kibatala inaweza kuchukua hata miaka miwili na bado akashindwa
Mara atakata rufaa mahakama kuu kuwa mteja alisachiwa usiku wa manane,mara atafungua kesi ndani ya kesi kumpinga tu shahidi,matokeo concentration kwa kesi ya msingi inapungua na jamhuri inazidi kujipanga
Kesi ya sugu ilikua hivyo hivyo mwisho akajitoa na kwa mdude hivyo hivyo
 
Akiendelea hivyo anaweza kunyang'anywa leseni yake ya uwakili kama Fatma Karume?
Afanye anachotakiwa kufanya bila kuvunja taaratibu na miiko yake ya kazi yake
 
It does not matter, what matter is that it is improper for a lawyer to call a witness a liar; all the lawyer has to show is pointing to the lies that is established and that can be done in the final submission.
Jaribu kunyoosha Kiingereza chako kikae sawa au tumia tu Kiswahili, naamini ni sahihi kukukosoa kwenye lugha kama wewe unavyomkosoa Kibatala kwenye sheria.
 
Kesi ya Mandelea ilichukua miaka mingapi na alifungwa au hakufungwa miaka 27 gerezani huku dunia yote ikishuhudia ?

Kesi ya Zuma enzi za makaburu ilichukua muda gani na alifungwa au hakufungwa miaka 9?

Kesi Mugabe ilichukua muda gani na alifungwa au hakufungwa gerezani miaka 10?
 
Hivi Fatma hakurudishiwa leseni?
El- Maamry Kama sikosei ni wakili maarufu hapa Tz ila wadau watadhibitisha
 
Jaribu kunyoosha Kiingereza chako kikae sawa au tumia tu Kiswahili, naamini ni sahihi kukukosoa kwenye lugha kama wewe unavyomkosoa Kibatala kwenye sheria.
nionyeshe tu kosa liko wapi nami nikiridhika nitasahihisha
 
Afanye anachotakiwa kufanya bila kuvunja taaratibu na miiko yake ya kazi yake
Sasa hivi mmekosa chakusema kuhusu kesi mmekimbilia kumkosoa Kibatala. Hivi hamuoni makosa wafanyayo mawakili wa serikali kupitia mashahidi wao?
 
Ndio tatizo lenu linapianzia hapo
Huwezi kumfananisha mandela na mbowe
 
soma uelewe-huna sababu ya kutumia mtazamo wala maoni yangu
Anayedanganya hana jina jingine zaidi ya MUONGO... Labda kama unataka kutanguliza mkokoteni mbele ya punda na huku utegemee luende... Yaani mkokoteni umvute punda
 
Afanye anachotakiwa kufanya bila kuvunja taaratibu na miiko yake ya kazi yake
Mkamateni kwa hilo, kama ambavyo yeye amewakamata kwa kuchomoa documents za mahakama na kuzitumia kwenye ushahidi mahakamani hapo hapo
 
You can't conclude the novicity of a lawyer by considering only a single factor. Unless you are sent to destroy his reputation.
 
Hapa naona kuna mpambano kati ya lawyers vs nyumbu,

Hapa lawyers lazima wagalagazwe maana nyumbu knows everything.
 
it is a good homework
Search for: When should I use matter or matters?


How do you use matter in a sentence?


Matter sentence example
  1. As a matter of fact, I think we're on completely different planets. ...
  2. "It doesn't matter ," Alex said. ...
  3. It was only a matter of days. ...
  4. The Trinity--the three elements of matter --are sulphur, mercury, and salt. ...
  5. As a matter of fact, I'm eating rainbow grass.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…