Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,211
- 12,538
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Tumekuwa tukishindwa kila siku katika medani mbalimbali za kimichezo, kimataifa, hasa katika mchezo wa soccer,
Michezo ipo mingi sana, ndani tunafanya vizuri lakini kimataifa tumekuwa watalii tu,
Sasa basi, kuna umuhimu wa huu wizi wa kutumia pikipiki ukaboreshwa na kuongezwa katika listi ya michezo pengine tunaweza iwakilisha nchi yetu vizuri na sisi tukiwa Kama waasisi wa mchezo huo, kwa kuwa vijana wanaonesha wana ari, kasi na akili nyingi kufanikisha hili..
Wazungu wana michezo ya kipuuzi mingi tu, na wanaitambulisha kimataifa na inapendwa mno, sasa ni zamu yetu..maana si kwa wizi huu.
Tumekuwa tukishindwa kila siku katika medani mbalimbali za kimichezo, kimataifa, hasa katika mchezo wa soccer,
Michezo ipo mingi sana, ndani tunafanya vizuri lakini kimataifa tumekuwa watalii tu,
Sasa basi, kuna umuhimu wa huu wizi wa kutumia pikipiki ukaboreshwa na kuongezwa katika listi ya michezo pengine tunaweza iwakilisha nchi yetu vizuri na sisi tukiwa Kama waasisi wa mchezo huo, kwa kuwa vijana wanaonesha wana ari, kasi na akili nyingi kufanikisha hili..
Wazungu wana michezo ya kipuuzi mingi tu, na wanaitambulisha kimataifa na inapendwa mno, sasa ni zamu yetu..maana si kwa wizi huu.