Upoteaji wa Watu, Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

Upoteaji wa Watu, Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Wakuu Salaam

Katika Swla la Upoteaji na utekaji wa Watu, Watu wa tiba Mbdala na Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

Tunaweza Walaumu Polisi, TISS, Machawa wa vyama vya siasa nk. Lakini tunawasahau hawa wataalam wetu wa afya.

Pia kuna watu wanazikwa na Manispaa kila Wiki Nchi nzima ambao hawana ndugu. Wengine wameokotwa kwenye ajali nk.

So tunapotuhumu vyombo vya dola tuwe na kiasi cha maneno. Tusiingize siasa kwenye uhai wa watu.

Kwanini tunaongelea vyombo vya dola na vyombo vya afya tunaviacha?

Kumbuka Tanzania bado hatuna utu wala uzalendo, tumejaa tamaa wizi ufisadi na Uuaji?

Angalia Ufisadi wa Wanasiasa, angalia ujangili. Angalia familia za Kitanzania zilivyo na ukatili kila siku mume kamuua Mke na Mke kaua mume watoto nk.

Tusiwaone hawa watu wa tiba mbadala na Wamiliki wa Hospitali ni wema. Ukutaka uamini, subiri Serikali irubusu biashara ya viungo vya binadamu.

TLS, yatoa orodha ya watu waliopotea na kutekwa na tamko juu ya ongezeko la vitendo vya utekaji na upoteaji wa watu nchini

MUHAS: Tunatumia maiti 20 tu kwa mwaka

Kama si mbinu,Turuhusiwe kutambua maiti kutoka IMTU.

Sakata la viungo vya binadamu: Madaktari wa IMTU washikiliwa na Polisi

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
 
Daktari Hana ubavu wa kuteka na kuua.wanaoteka ni polisi100% Kwa mujibu wa mtekwaji sativa alitekwa na kubebwa kwenye gari na ilikuwa inasimamishwa njiani na polis usalama barabarani na kujitambulisha polisi anaachwa naendelea na alipofikishwa arusha alikuwa anahudumiwa na polisi.Hata mzee kibao kauliwa na polisi 100%.hii ni baadhi tu ya mifano inayothibitisha kuwa wanaosababisha watu kupotea ni polis
 
Hii inanikumbusha zile stori za wanyonya damu za miaka ya 80 za kule arusha, kuhusu wahusika wa biahsara ya damu walikua ni kina nani..
 
Wakuu Salaam

Katika Swla la Upoteaji na utekaji wa Watu, Watu wa tiba Mbdala na Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

Tunaweza Walaumu Polisi, TISS, Machawa wa vyama vya siasa nk. Lakini tunawasahau hawa wataalam wetu wa afya.

Pia kuna watu wanazikwa na Manispaa kila Wiki Nchi nzima ambao hawana ndugu. Wengine wameokotwa kwenye ajali nk.

So tunapotuhumu vyombo vya dola tuwe na kiasi cha maneno. Tusiingize siasa kwenye uhai wa watu.

Kwanini tunaongelea vyombo vya dola na vyombo vya afya tunaviacha?

Kumbuka Tanzania bado hatuna utu wala uzalendo, tumejaa tamaa wizi ufisadi na Uuaji?

Angalia Ufisadi wa Wanasiasa, angalia ujangili. Angalia familia za Kitanzania zilivyo na ukatili kila siku mume kamuua Mke na Mke kaua mume watoto nk.

Tusiwaone hawa watu wa tiba mbadala na Wamiliki wa Hospitali ni wema. Ukutaka uamini, subiri Serikali irubusu biashara ya viungo vya binadamu.

MUHAS: Tunatumia maiti 20 tu kwa mwaka

Kama si mbinu,Turuhusiwe kutambua maiti kutoka IMTU.

Sakata la viungo vya binadamu: Madaktari wa IMTU washikiliwa na Polisi

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
Spinning Propaganda?
 
Daktari Hana ubavu wa kuteka na kuua.wanaoteka ni polisi100% Kwa mujibu wa mtekwaji sativa alitekwa na kubebwa kwenye gari na ilikuwa inasimamishwa njiani na polis usalama barabarani na kujitambulisha polisi anaachwa naendelea na alipofikishwa arusha alikuwa anahudumiwa na polisi.Hata mzee kibao kauliwa na polisi 100%.hii ni baadhi tu ya mifano inayothibitisha kuwa wanaosababisha watu kupotea ni polis
Mkuu,

Sijaongelea Madaktari. Nimeongelea Hospitali. Hospitalini unaweza kupeleka Figo wasikuulize umeitoa wapi. As long as una hela ya kuhonga.. Unawekewa figo na maisha tanaendelea. Muhimu tu iwe katika halli nzuri ya kutumika.
 
Mkuu,

Sijaongelea Madaktari. Nimeongelea Hospitali. Hospitalini unaweza kupeleka Figo wasikuulize umeitoa wapi. As long as una hela ya kuhonga.. Unawekewa figo na maisha tanaendelea. Muhimu tu iwe katika halli nzuri ya kutumika.
Mkuu ni wewe kweli au mtu kaiba utambulisho wako?..
Upo sawa kweli?...
Unapeleka figo hospitali?...aisee
 
Wakuu Salaam

Katika Swla la Upoteaji na utekaji wa Watu, Watu wa tiba Mbdala na Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

Tunaweza Walaumu Polisi, TISS, Machawa wa vyama vya siasa nk. Lakini tunawasahau hawa wataalam wetu wa afya.

Pia kuna watu wanazikwa na Manispaa kila Wiki Nchi nzima ambao hawana ndugu. Wengine wameokotwa kwenye ajali nk.

So tunapotuhumu vyombo vya dola tuwe na kiasi cha maneno. Tusiingize siasa kwenye uhai wa watu.

Kwanini tunaongelea vyombo vya dola na vyombo vya afya tunaviacha?

Kumbuka Tanzania bado hatuna utu wala uzalendo, tumejaa tamaa wizi ufisadi na Uuaji?

Angalia Ufisadi wa Wanasiasa, angalia ujangili. Angalia familia za Kitanzania zilivyo na ukatili kila siku mume kamuua Mke na Mke kaua mume watoto nk.

Tusiwaone hawa watu wa tiba mbadala na Wamiliki wa Hospitali ni wema. Ukutaka uamini, subiri Serikali irubusu biashara ya viungo vya binadamu.

MUHAS: Tunatumia maiti 20 tu kwa mwaka

Kama si mbinu,Turuhusiwe kutambua maiti kutoka IMTU.

Sakata la viungo vya binadamu: Madaktari wa IMTU washikiliwa na Polisi

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
Sasa mbona wanaopotea ni wapinzani tu, kwanini wafuasi wa CCM hawapotei au kutekwa?

Ukitaka tuaamini hii hoja, tudhibitishie kuwa wafuasi wa CCM hawana Figo, au Figo zao hazifai,
 
Wakuu Salaam

Katika Swla la Upoteaji na utekaji wa Watu, Watu wa tiba Mbdala na Hospitali zichunguzwe biashara ya figo na viungo vya binadamu Tanzania

Tunaweza Walaumu Polisi, TISS, Machawa wa vyama vya siasa nk. Lakini tunawasahau hawa wataalam wetu wa afya.

Pia kuna watu wanazikwa na Manispaa kila Wiki Nchi nzima ambao hawana ndugu. Wengine wameokotwa kwenye ajali nk.

So tunapotuhumu vyombo vya dola tuwe na kiasi cha maneno. Tusiingize siasa kwenye uhai wa watu.

Kwanini tunaongelea vyombo vya dola na vyombo vya afya tunaviacha?

Kumbuka Tanzania bado hatuna utu wala uzalendo, tumejaa tamaa wizi ufisadi na Uuaji?

Angalia Ufisadi wa Wanasiasa, angalia ujangili. Angalia familia za Kitanzania zilivyo na ukatili kila siku mume kamuua Mke na Mke kaua mume watoto nk.

Tusiwaone hawa watu wa tiba mbadala na Wamiliki wa Hospitali ni wema. Ukutaka uamini, subiri Serikali irubusu biashara ya viungo vya binadamu.

MUHAS: Tunatumia maiti 20 tu kwa mwaka

Kama si mbinu,Turuhusiwe kutambua maiti kutoka IMTU.

Sakata la viungo vya binadamu: Madaktari wa IMTU washikiliwa na Polisi

Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo
Naona police Ccm mmekuja Kwa namna ya kujitawaza na kujisafisha Kwa kutumia oil Chafu.

Hujajiuliza kuwa kwanini wanao tekwa ni wakosoaji na chadema tu ama hao ndo figo zao zinahitajika pekee?
 
Spinning ya hovyo sana,kwa hiyo Soka,Kanguye,Kombo,Dionizi na wengineo wengi waliopotea kwa kukamatwa na wito wa watu wanaojinasibu polisi kumbe ni madaktari?!!

Mfano ili mtu apandikizwe Figo- unajua kua lazima vipimo vioane baina ya mpewa Figo na mtoa Figo kwani bila ya hivyo mpewa figure atafariki kwa immunity yake kushambulia Figo mpya??!!

Kwa propaganda hizi na urambaji makalio ya watawala ipo siku mtatuambia Lissu na Kibao walishambuliwa na kampuni ya mikopo walipoenda kudaiwa marejesho baada ya kuchelewesha malipo!!!
 
Back
Top Bottom