Acha chuki binafsi.Sijasema bora kipo england
Unakaaje mbele za watu na kujisifia kuhusu samata? Hauon aibu
Ni heri ujisifie diamond platnmuz nitakuelewa
Ili uwe famous lazima ucheze ligi kubwa tano bora ulaya
Ya kwanza ni EPL,
HUYO SAMATA UMRI NDIO UNAENDA HIVO HATA TIMU ZA CHAMPIONSHIP HAKUNA INAYOMUHITAJI
NI HERI AKACHEZE CHAMPIONSHIP KULIKO KUCHEZA LIG YA UBELGIJI
Dereva wa Mbowe.Samatta ndo nani
Tid huwa anamtajaNa ndo maana katajwa kwenye wimbo maarufu sasa wa Acha maneno weka muziki. Niambie kama pana mwanamuziki hapa katika wimbo wake wowote kamtaja Wanyama.
Asante,nilikuwa naweka rekodi tu vizuri,kuwa kuna tofauti ya mchezajji bora wa afrika,na mchezaji bora wa afrika wa ligi za afrika tu ambazo wanyama hawezi shirikiKwani nani anayesema Samata ni bora kwa wachezaji wote
wakutoka Afrika?.
Samahani joseverest,nimechukua nafasi yako kwa muda tu!!.
Makofi kwake tafadhaliWatu waache utani, ni kweli samata anaiwakilisha vema nchi yetu lakini kumfananisha na wanyama huo sasa ni utoto!!
Hizo pesa utakuwa unachapisha mwenyewe?Samata mchezaji wa kawaida tu
Angekuwa anajua zaidi angekuwa ameahasogea hata scotland kidogo kuelekea EPL
Ni aibu kwa mtanzania mzima kujivunia mchezaji anayechezea lig ya ubelgiji,
Najisikia aibu
One day nitagombea urais TFF,
Kila wilaya nitaweka academy,
Kila shule za msing nitaweka ligi
Nitaweka lig za secondary had chuo,
After 5yrs nitapata vipaji ving vitakavyofuta aibu hii
NARUDIA NI AIBU KUSIMAMA MBELE ZA WATU NA KUJISIFIA SAMATA,
Samara anacheza timu gan?Na Samara sio mtanzania wa kwanza kucheza ulaya. Wapo kina Sunday Manara nk.