Upotoshaji mkataba na DP world kwa manufaa ya nani?

Upotoshaji mkataba na DP world kwa manufaa ya nani?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Nguvu nyingi inatumika bIla shaka kupotosha kuhusiana na mkataba huu.

Fzt7hMkWAAUKcF5.jpeg


FzwbJaJWIAADtjP.jpeg


FztxadbWwAwpuyt (1).jpeg


FztxadnXoAgtGfA.jpeg


Kwamba tuna aina hIzi za watu mezani:

Screenshot_20230629-071736.jpg


Ni dhahiri bin shahiri kuwa, kuna wanufaika hapa na bila shaka si wananchi.
 
Issa ameongea vizuri sana pia ametoa ushauri mzuri sana. Hv najiuliza serekali huwa haifanyi consultation kwa watu waelewa/wasomi/ watz kama hawa kwenye Miradi mikubwa!!!? Kuliko kujifungia tu na watumishi wa umma
 
mi naona jambo la serikali ni jema ila masharti ndo yanazua taharuki

nukuu ''' hata gunduz bey alitaka kuusaidia ukoo wake kwa nia njema kumbe alikuwa akiingia kwenye mtego wa waziri aremsha ''' nia ya serikali ni njema ila ingalie kwa jicho la tatu hakuna mtego mbeleni
 
Embu tafakari mtu aliyeaminiwa kulinda maslahi ya uma. Ndio kwanza anadanganya mbele ya television wala hana soni.

Ee Mungu turehemu sisi wanao mbwa mwitu ndio walinzi wa kondoo zetu.

Ni dhahiri viongozi wetu hawajui maana ya uongozi.

Mifano hai 1. Kassimu Majaliwa, 2. Tulia Akson, 3. Mbarawa Makame
 
Ukifuatilia hotuba nyingi za viongozi hao hao, utakuta zinapishana. Tumwamini nani kati ya ho? 🤔. Kupishana huko ni dhahiri kuwa ni mkataba batili.
 
nacheka lakini sio mazuri.. hawa watu wana-sow confusion makusudi mpka tukija kushtuka watu washasaini na wako kazini tayar
 
Nguvu nyingi inatumika bIla shaka kupotosha kuhusiana na mkataba huu.

View attachment 2672542

View attachment 2672543

View attachment 2672541

View attachment 2672540

Kwamba tuna aina hIzi za watu mezani:

View attachment 2672544

Ni dhahiri bin shahiri kuwa, kuna wanufaika hapa na bila shaka si wananchi.
Ni story za vijiweni,Wewe una takwimu

Mwaka jana bandari makusanyo yalikuwa kiasi gani mfano wharfage ilikuwa Tzs kiasi gani?

Watu hawana takwimu za bandari na wala hawajui kazi za bandari

Mkuu ya kusikia changanya na yako

Bandarini kuna kampuni zina pata matrilioni kwa kukwepa kodi hasa hizi Clearing Agents

Clearing agents nyingi ni za kitapeli hazilipi kodi

Acha bandari iendeshwe na wengine kwanza

We learn through mistakes
 
Ni story za vijiweni,Wewe una takwimu

Mwaka jana bandari makusanyo yalikuwa kiasi gani mfano wharfage ilikuwa Tzs kiasi gani?

Watu hawana takwimu za bandari na wala hawajui kazi za bandari

Mkuu ya kusikia changanya na yako

Bandarini kuna kampuni zina pata matrilioni kwa kukwepa kodi hasa hizi Clearing Agents

Clearing agents nyingi ni za kitapeli hazilipi kodi

Acha bandari iendeshwe na wengine kwanza

We learn through mistakes
Tatizo la bandari kwa muda huu sio makusanyo, ni zile terms mbovu kwenye ule mkataba, hivi huu ujinga mnaurudia kwa maslahi ya nani? au mnadhani mnamkomoa nani?
 
Issa ameongea vizuri sana pia ametoa ushauri mzuri sana. Hv najiuliza serekali huwa haifanyi consultation kwa watu waelewa/wasomi/ watz kama hawa kwenye Miradi mikubwa!!!? Kuliko kujifungia tu na watumishi wa umma
CCM ni kisima cha watu wanao jitoa ufahamu kwa kuahirisha kufikiri kwa masilahi ya watu wachache
 
Nyinyi ndio mazumbukuku msiotaka kuelewa hoja ya msingi, Azimio hilo mlilopitisha ni kwa ajili ya nini? Je kulikuwa hakuna namna hilo Azimio likatamka kinachoshauriwa? Kama Azimio limeeleza kabisa hakuna Ukomo, unadhani Mikataba itaenda kinyume na Azimio?
 
mi naona jambo la serikali ni jema ila masharti ndo yanazua taharuki

nukuu ''' hata gunduz bey alitaka kuusaidia ukoo wake kwa nia njema kumbe alikuwa akiingia kwenye mtego wa waziri aremsha ''' nia ya serikali ni njema ila ingalie kwa jicho la tatu hakuna mtego mbeleni
Beberu anasema:

"The road to hell is paved with good intentions."

Nia njema kitu gani mkuu?
 
Serikali ni waongo juu ya hilo la uwekezaji wamekua na mtizamo finyu na hawajalinda maslahi mapana ya nchi yetu
 
Issa ameongea vizuri sana pia ametoa ushauri mzuri sana. Hv najiuliza serekali huwa haifanyi consultation kwa watu waelewa/wasomi/ watz kama hawa kwenye Miradi mikubwa!!!? Kuliko kujifungia tu na watumishi wa umma


Unafikiri hawajui wa nakosea? Pesa na benefits vinapofusha
 
Issa ameongea vizuri sana pia ametoa ushauri mzuri sana. Hv najiuliza serekali huwa haifanyi consultation kwa watu waelewa/wasomi/ watz kama hawa kwenye Miradi mikubwa!!!? Kuliko kujifungia tu na watumishi wa umma
Yaani ulitaka genge la wezi wamshirikishe police kwenye deal zao?
 
Back
Top Bottom