Upotoshaji uliopo kati ya uhusiano wa teknolojia ya 5G na corona

Upotoshaji uliopo kati ya uhusiano wa teknolojia ya 5G na corona

Historia inasema Coronavirus walikuwepo hapa duniania zaidi miaka 4000 iliyo pitia. Corona haijatengenezwa na mtu au taifa au nchi. Bali coronavirus wame mutate undergo mutation. Inatoka na mabadiliko ya tabia ya nchi . Wanaohusianisha 5G huenda kwa asilimia kidogo mionzi(radiation) of 5 G Ndio imewabadisha corona kutoka muundo usiona madhara kwenda muundo wa madhara(COVID-19). Kumbe lengo China kutuletea 5G Si kuleta corona bali nikusaidia maendeleo ya dunia. Covid-19 imejitengenza automatic
 
Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Mkuu upo nyuma sana! embu jaribu kuwaza vita vya kwanza na vya pili vya dunia unafikiri vimeua wangapi? je viliibuka tu? vita vya ugaidi vimeua wangapi? je ni kweli Osama ndiye aliye lipua ya majengo ya Marekani? ni wangapi walikufa ndani ya yale majengo? Ukimwi umeua wangapi? mwisho wa yote ni nini?
 
Jana David Icke amezungumzia sana hili la 5g na covid-19 katika interview yake na Brian Rose (london tv), unfortunately youtube waliifuta soon baada ya kuwa apploaded youtube. Hata bbc jana walizungumzia kuhusiana na youtube kufuta hiyo video jambo ambalo sio kawaida.

David Icke ameelezea vizuri sana kwa facts na history pamoja na kuonyesha docs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana sio mimi nimefuta ndugu.. Ingawa nahitaji kusomea fani ingine ya afya.ili niwe na fani zaidi
 
Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Mkuu hizo ni argument za kiganga,lete scientific argument,mutation inafanyweje na RF.
 
Ni hivi,hii tecnologia ya 5G,inamadhara makubwa katika mwili wa binadamu kuliko 4g,hivyo basi mionzi inayotokana na 5G,inaua cell za binadamu kwa kiasi kikubwa sana,baadaya ya hapo hizo cell zilizokufa ndio zinazokuja kutengeneza virus,ambayo ndio CORONA yenyewe,..China ni muhusika mkubwa sana katika utengenezeji wa CORONA

Na kwasbabu huu ugonjwa ni artificial,walikuwa wanataka kutengeneza code zake then waweke kwenye micro-chip,iwe kama kinga..bahati mbaya ikamshinda mchina.


ACHA KUPOTOSHA WATU MKUU,CORONA IMETENGENEZWA
 
Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us
Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Pole sana mkuu kama watu wanatengeneza mabomu ili tu wauane kwenye virus wabashindwa nn

Hem kasome shutma za Us Juu ya Hayati Hugo Chavez

Sent using My COVID-19
 
Mkuu upo nyuma sana! embu jaribu kuwaza vita vya kwanza na vya pili vya dunia unafikiri vimeua wangapi? je viliibuka tu? vita vya ugaidi vimeua wangapi? je ni kweli Osama ndiye aliye lipua ya majengo ya Marekani? ni wangapi walikufa ndani ya yale majengo? Ukimwi umeua wangapi? mwisho wa yote ni nini?
Yupo nyuma zaidi ya sanaaaaaaaaa

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom