Mkuu upo nyuma sana! embu jaribu kuwaza vita vya kwanza na vya pili vya dunia unafikiri vimeua wangapi? je viliibuka tu? vita vya ugaidi vimeua wangapi? je ni kweli Osama ndiye aliye lipua ya majengo ya Marekani? ni wangapi walikufa ndani ya yale majengo? Ukimwi umeua wangapi? mwisho wa yote ni nini?Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Mkuu hizo ni argument za kiganga,lete scientific argument,mutation inafanyweje na RF.Kama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Pole sana mkuu kama watu wanatengeneza mabomu ili tu wauane kwenye virus wabashindwa nnKama nilivyo andika hapo juu. Ni kwamba hakuna nchi au mtu anayeweza kufikiri kutengeneza virus vya corona ili kuua watu. Sio china, wala us , wala nchi yeyeto. Bali coronavirsus wamebadilisha kibaiolojia wame mutate kutoka form isiyo na madhara kwende kwenye form madhara(covid-19) huenda ni kutoka na mabadiliko ya tabia nchi. Also Technology ya 5G inaweza ku mutate au kubadilisha virus... Ingawa lengo 5G ni kwaajiri maendeleo yetu. Kama 5G Imemutate corona to covid-19 ni bahati mbaya . tumuogope Mungu China haikuwa na lengo Lengo baya kutulete 5G. I
Yupo nyuma zaidi ya sanaaaaaaaaaMkuu upo nyuma sana! embu jaribu kuwaza vita vya kwanza na vya pili vya dunia unafikiri vimeua wangapi? je viliibuka tu? vita vya ugaidi vimeua wangapi? je ni kweli Osama ndiye aliye lipua ya majengo ya Marekani? ni wangapi walikufa ndani ya yale majengo? Ukimwi umeua wangapi? mwisho wa yote ni nini?