Uchaguzi 2020 Upotoshaji wa hotuba ya Waziri Mkuu, jibu ni hili

Uchaguzi 2020 Upotoshaji wa hotuba ya Waziri Mkuu, jibu ni hili

Nawaona tu MATAGA mkijimwambafai kwenye huu uzi wenu mlio uanzisha! Hofu imewajaa kweli kweli! hasa baada ya wale wafadhili wenu (MABEBERU) kuwang'ang'ania shingo kwa kuhitaji Uchaguzi Huru na wa Haki ifikapo hiyo Oktoba 2020!

Sijui mtarudia tena yale maigizo yenu ya mwaka jana! Sijui mtaufyata!!🤔
Kwa hiyo unataka kupotosha kuwa uchaguzi sio huru na wa haki hapa Tanzania? Au unajifurahisha maana mmekuja na style ya kupotosha kila jambo.
 
Wapotoshaji Horuba ya ofisi ya waziri mkuu bungeni kuhusu ajira hii hapa

Mheshimiwa Spika, mafanikio haya katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii yameenda sambamba na uzalishaji wa ajira zipatazo milioni 12.6 zikiwemo ajira za moja kwa moja milioni 11.7 kwenye sekta mbalimbali nchini.

Kwa mfano:
Sekta za Afya, Elimu na Utawala zimetoa ajira za kudumu kwa kuajiri watumishi 28,403 katika mamlaka za Serikali za Mitaa;

Mradi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa umewezesha kuzalishwa ajira zipatazo 13,177 za kitaalam na zisizo za kitalaam. Kati ya hizo, ajira za kitaalam kwa wazawa ni asilimia 46.5. Pia kupitia mradi huu kumekuwa na utoaji wa zabuni zenye thamani ya Shilingi bilioni 664.7 kwa wazabuni na wakandarasi wa ndani 640;

Mradi wa umeme wa mwalimu Nyerere kupitia maporomoko ya mto Rufiji umezalisha jumla ya ajira 3,897 ikiwemo ajira za wazawa 3,422;
Ufufuaji wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL) pamoja na kuboresha viwanja vya ndege jumla ya ajira 2,970;

Ujenzi wa Viwanda nchini jumla ya ajira zilizozalishwa ni 41,900;

Ujenzi na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Hospitali za Wilaya, vituo vya afya, Zahanati, Madarasa, Nyumba na majengo maeneo mapya ya utawala, Miradi ya barabara chini ya TARURA kwa kutumia Force Account jumla ya mafundi 845,348 walipata ajira za mikataba na muda.
duh kwaio ukijumlisha hizo namba unapata MILIONI KUMI NA MOJA???.......


huu upumbavu sijui kwanini watu wanaupokea aisee, eti deiwaka nayo ajira[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kwa hiyo unataka kupotosha kuwa uchaguzi sio huru na wa haki hapa Tanzania? Au unajifurahisha maana mmekuja na style ya kupotosha kila jambo.

Siku utakapofanyika huo Uchaguzi wa Huru na Haki, nakuhakikishia ndiyo itakua mwisho wa hicho kikundi chenu kuitawala nchi yetu. Yaani kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi na isiyo na shaka yoyote ile, Polisi kuacha kutumia nguvu kwa raia, kuacha vitisho na kuacha ile tabia ya kukimbia na masanduku ya kura!

Wakurugenzi (makada kindakindaki wa ccm) kuondolewa kuwa wasimamizi, matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani, vyama vyote vya siasa kupewa uwanja sawa wa kufanya siasa na kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi, nk. Hakika saa 2 tu asubuhi utaambiwa CCM imekufa kifo cha mende.
 
Siku utakapofanyika huo Uchaguzi wa Huru na Haki, nakuhakikishia ndiyo itakua mwisho wa hicho kikundi chenu kuitawala nchi yetu. Yaani kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi na isiyo na shaka yoyote ile, Polisi kuacha kutumia nguvu kwa raia, kuacha vitisho na kuacha ile tabia ya kukimbia na masanduku ya kura!

Wakurugenzi (makada kindakindaki wa ccm) kuondolewa kuwa wasimamizi, matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani, vyama vyote vya siasa kupewa uwanja sawa wa kufanya siasa na kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi, nk. Hakika saa 2 tu asubuhi utaambiwa CCM imekufa kifo cha mende.
Kwani sasa hivi tume sio huru? Mlizuiwa kufanya siasa? Nyie mnataka harakati sio siasa. Maana mikutano ndani ya majimbo ilikuwa ruksa. Ila kwa sababu ni wanaharakati mlitaka kufanya harakati wananchi wasiletewe maendeleo.
 
Nawaona tu MATAGA mkijimwambafai kwenye huu uzi wenu mlio uanzisha! Hofu imewajaa kweli kweli! hasa baada ya wale wafadhili wenu (MABEBERU) kuwang'ang'ania shingo kwa kuhitaji Uchaguzi Huru na wa Haki ifikapo hiyo Oktoba 2020!

Sijui mtarudia tena yale maigizo yenu ya mwaka jana! Sijui mtaufyata!![emoji848]
Bora wafadhili wanaotaka tume huru kuliko wafadhili wanaotaka ushoga
 
Siku utakapofanyika huo Uchaguzi wa Huru na Haki, nakuhakikishia ndiyo itakua mwisho wa hicho kikundi chenu kuitawala nchi yetu. Yaani kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi na isiyo na shaka yoyote ile, Polisi kuacha kutumia nguvu kwa raia, kuacha vitisho na kuacha ile tabia ya kukimbia na masanduku ya kura!

Wakurugenzi (makada kindakindaki wa ccm) kuondolewa kuwa wasimamizi, matokeo ya Rais kuhojiwa mahakamani, vyama vyote vya siasa kupewa uwanja sawa wa kufanya siasa na kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi, nk. Hakika saa 2 tu asubuhi utaambiwa CCM imekufa kifo cha mende.
Mlipewa uwanja sawa wakati wa jk mkavuruga
 
Jumlisha na za wale wa buku saba kwa siku.
Ajira ni nyingi sana zilizotolewa awamu hii.
 
Wanafikiri kuwa ajira mpaka uajiliwe na serkal wakiona mtu amejiajiri wajui serkali inachukua takwimu hata za walijiajiri
Kilaza hajui hajui hajui! Kuna tofauti kubwa kati ya ajira na kazi.
 
Hii dunia asingekuwapo beberu hawa watawala weusi wangetugeuza bucha usiku na mchana kwa roho mbaya,
 
Tupe tofauti
Una nafuu kwa kujua hujui! Mwenye kazi anatoa ajira kwa mtu au watu wengine na kuwalipa ujira. Kama ni kwa siku au wiki ni kibarua na kulipwa ujira wa siku au wiki kulingana na mapatano. Kama ni kwa mwezi ni mwajiriwa na hulipwa ujira unaoitwa mshahara kulingana na mkataba. Mwenye kazi halipwi mshahara kwa sababu hakuajiriwa. Anakula faida. Na ni katika hiyo faida, kama ametoa ajira kwa wengine, hulipa posho au mishahara!
 
Wapotoshaji Horuba ya ofisi ya waziri mkuu bungeni kuhusu ajira hii hapa

Mheshimiwa Spika, mafanikio haya katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii yameenda sambamba na uzalishaji wa ajira zipatazo milioni 12.6 zikiwemo ajira za moja kwa moja milioni 11.7 kwenye sekta mbalimbali nchini.

Kwa mfano:
Sekta za Afya, Elimu na Utawala zimetoa ajira za kudumu kwa kuajiri watumishi 28,403 katika mamlaka za Serikali za Mitaa;

Mradi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa umewezesha kuzalishwa ajira zipatazo 13,177 za kitaalam na zisizo za kitalaam. Kati ya hizo, ajira za kitaalam kwa wazawa ni asilimia 46.5. Pia kupitia mradi huu kumekuwa na utoaji wa zabuni zenye thamani ya Shilingi bilioni 664.7 kwa wazabuni na wakandarasi wa ndani 640;

Mradi wa umeme wa mwalimu Nyerere kupitia maporomoko ya mto Rufiji umezalisha jumla ya ajira 3,897 ikiwemo ajira za wazawa 3,422;
Ufufuaji wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL) pamoja na kuboresha viwanja vya ndege jumla ya ajira 2,970;

Ujenzi wa Viwanda nchini jumla ya ajira zilizozalishwa ni 41,900;

Ujenzi na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Hospitali za Wilaya, vituo vya afya, Zahanati, Madarasa, Nyumba na majengo maeneo mapya ya utawala, Miradi ya barabara chini ya TARURA kwa kutumia Force Account jumla ya mafundi 845,348 walipata ajira za mikataba na muda.
Kwa hiyo hujui kujumlisha? Au kwa akili yako ukijumlisha hizo elfuelfu na laki 8 unapata milioni 11 au 12?
Jamani sisiemu hii ya hawa vijana ndiyo mburula hivi!!!!!!
Jf futeni huu uzi kwakuwa hauna mantiki inayohalalisha hoja yao
Cc moderators, maxence melo, invisible, Roving journalist
 
Back
Top Bottom