Upumbavu huu mpaka lini jamani

Upumbavu huu mpaka lini jamani

MJUKUU WA MKULI

New Member
Joined
Apr 22, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Leo majira ya saa sita usiku kumetokea chatu mkubwa hapa udom social science
je ni sahihuhi kwa watu kwenda kujazana na kumchezea badala ya kumuua?
Je kunamadhara gani kwa watu kumchezea chatu aliye hai?
Je wako sahihi
 
usimchezee chatu eeeh oooh chatu eeeeh shoka usimtupie utaukosa ushindi
 
mmmmh! U guys take care! Vitu vingine vinakuwaga' traditional chemistry! Nadhani umenisoma!
 
hivi kumbe hata vyuo vikuu wale ndugu wapo?
elimu yetu kushnei
 
Leo majira ya saa sita usiku kumetokea chatu mkubwa hapa udom social science
je ni sahihuhi kwa watu kwenda kujazana na kumchezea badala ya kumuua?
Je kunamadhara gani kwa watu kumchezea chatu aliye hai?
Je wako sahihi

wewe ni mwanafunzi wa chuo kikuu?
 
kwan chatu si mnyama tu, watu washaingiza u trad chem....
ikumbukwe udom ipo maeneo mengi bado ni porini, unafkir vitu kama hivyo vitakosekana.
 
Mjukuu vipi mdogo wangu?? Watu wanacheza na nyoka wewe unalalamika??
 
usimchezee chatu eeeh oooh chatu eeeeh shoka usimtupie utaukosa ushindi

LOL Mkuu umenikumbusha mbaliiiiiii, Hao ni wanasikinde vile, ilikuwa mwaka gani vile.......aaahhh ya kale matamu jamaaaa!!!!!
 
Back
Top Bottom