OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
Mapungufu ya Damu kwa mama mjamzito huweza kupelekea ukuaji hafifu wa mtoto alieko tumboni, kuzaa mtoto njiti, mtoto kufia tumboni na pia chupa ya mtoto tumboni kupasuka kabla ya wakati || kiasi cha damu kuanzia 9g/dl – 10.9 g/dl huwesabika kama mild Anemia