Upungufu wa kuku wa nyama sababu yaelezwa ni zuio la kuingiza vifaranga kutoka nje

Upungufu wa kuku wa nyama sababu yaelezwa ni zuio la kuingiza vifaranga kutoka nje

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa mujibu wa uongozi wa soko la kuku Shekilango na Manzese ni kwamba kuna uhaba mkubwa wa kuku wa kisasa (broiler) sokoni hali inayopelekea wauza chips kutatizika

Inadaiwa uhaba huo huenda umesababishwa na katazo la serikali la kuagiza vifaranga kutoka nje ya nchi

Source: ITV habari
 
Serikali inashindwa kujua soko la ndani lina uwezo kiasi gani wa kuzalisha kuku?mana unapoa kua uanzuia uingizwaji wa vifaranga toka nje manake unajitosheleza kwa soko la ndani.

Hii ni kukurupuka ki maamuzi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii uzalishaji unazidi kupungua kutokana na utitiri wa kodi.
 
Nchi gani haina kodi?
Mbatizaji wananchi hawakatai kulipa kodi bali utitiri wa kodi na ukubwa wa kodi hizo. Pia hawaoni kinachorudi kwao zaidi ya kuona ma v8 barabarani. Kinachotozwa hakilingani na kinachoenda kwa wananchi. Shida imeanzia hapo.tozo hizo haziwanufaishi wananchi bali zinawafanya kuwa maskini zaidi.vigogo ndo wanaonufaika na hizo tozo ndo maana wanaweza kuagiza hata mabasi 60 kwa mkupuo.
 
Ilipo pigwa marufuku kuingiza vifaranga toka nje, niliweka angalizo, isije kuwa na lawama kama tozo. Sasa mambo yameanza. Mawazo ya kukurupuka.

Kuna kigogo alianzisha mradi wake wa vifaranga akataka kuulinda akidhani anahudumia kata.
 
Kama kuzalisha kuku tu tumeshindwa, tutaweza nini sasa?
 
Safi Acha wapote kuleni mboga za majani sasa
Kuku wenyewe wamejazwa madawa
Kibao....

Ova
 
Back
Top Bottom