Upungufu wa kuku wa nyama sababu yaelezwa ni zuio la kuingiza vifaranga kutoka nje

Upungufu wa kuku wa nyama sababu yaelezwa ni zuio la kuingiza vifaranga kutoka nje

Ilipo pigwa marufuku kuingiza vifaranga toka nje, niliweka angalizo, isije kuwa na lawama kama tozo. Sasa mambo yameanza. Mawazo ya kukurupuka.

Kuna kigogo alianzisha mradi wake wa vifaranga akataka kuulinda akidhani anahudumia kata.
Waziri Ulega alituaminisha kuwa mama amefungua nchi hivyo vifaranga ni inshu ndogo sana wawekezaji tayari wapo mtamboni. Kumbe ....
 
Serikali inashindwa kujua soko la ndani lina uwezo kiasi gani wa kuzalisha kuku?mana unapoa kua uanzuia uingizwaji wa vifaranga toka nje manake unajitosheleza kwa soko la ndani.

Hii ni kukurupuka ki maamuzi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nilimsikia yule waziri wa mifugo akihojiwa na akina Kipanya clouds kwamba kweli wamefanya utafiti wa kutosha wa kujua vifaranga nchini vinatosheleza akawa anajibu kwa kujiamini kwamba ndiyo..
 
Nilimsikia yule waziri wa mifugo akihojiwa na akina Kipanya clouds kwamba kweli wamefanya utafiti wa kutosha wa kujua vifaranga nchini vinatosheleza akawa anajibu kwa kujiamini kwamba ndiyo..
Mawaziri na wabunge wengi wa nchii ni vilaza..hapo wamepewa vibahasha tu ndio wakapitisha hilo katazo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa uongozi wa soko la kuku Shekilango na Manzese ni kwamba kuna uhaba mkubwa wa kuku wa kisasa (broiler) sokoni hali inayopelekea wauza chips kutatizika

Inadaiwa uhaba huo huenda umesababishwa na katazo la serikali la kuagiza vifaranga kutoka nje ya nchi

Source: ITV habari
Yaani Tanzania tumeshindea kuzalisha vifaranga! Je makampuni yaliyokuwepo yamekufa kama kiwanda ya Nyama Kawe!?
Kweli tunaenda kusiko.
Baada ya Samaki Sasa kuku!
 
Na sababu si hiyo Tu , hata chakula cha kuku ni bei mkasi na madawa pia Kwa sasa ,Mimi ni mfugaji WA kuku Ila Kwa sasa nimesimama kuzalisha kuku WA nyama BEI za soko haziendani na gharama za uzalishaji
 
Fugeni kuku wa kienyeji kuliko kula hayo makuku yasiyo na ladha,

Tuna kuku wa 5 jike 3, jogoo 2,

Tokea mwezi wa saba hadi huu wa tisa tumeshazalisha vifaranga 36,

Tumemteua jike mmoja tu wa kulea vifaranga wengine kazi yao kutaga na kutotoa,wakitotoa tunawanyang'anya vifaranga. hivyo kwasasa mmoja anakalia na mwingine anataga,

NB,hatuuzi ni kwa matumizi ya nyama na mayai.

Tufugie kwenye hizi stoo zetu?
 
Back
Top Bottom