Upungufu wa kuku wa nyama sababu yaelezwa ni zuio la kuingiza vifaranga kutoka nje

Ilipo pigwa marufuku kuingiza vifaranga toka nje, niliweka angalizo, isije kuwa na lawama kama tozo. Sasa mambo yameanza. Mawazo ya kukurupuka.

Kuna kigogo alianzisha mradi wake wa vifaranga akataka kuulinda akidhani anahudumia kata.
Waziri Ulega alituaminisha kuwa mama amefungua nchi hivyo vifaranga ni inshu ndogo sana wawekezaji tayari wapo mtamboni. Kumbe ....
 
Nilimsikia yule waziri wa mifugo akihojiwa na akina Kipanya clouds kwamba kweli wamefanya utafiti wa kutosha wa kujua vifaranga nchini vinatosheleza akawa anajibu kwa kujiamini kwamba ndiyo..
 
Nilimsikia yule waziri wa mifugo akihojiwa na akina Kipanya clouds kwamba kweli wamefanya utafiti wa kutosha wa kujua vifaranga nchini vinatosheleza akawa anajibu kwa kujiamini kwamba ndiyo..
Mawaziri na wabunge wengi wa nchii ni vilaza..hapo wamepewa vibahasha tu ndio wakapitisha hilo katazo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yaani Tanzania tumeshindea kuzalisha vifaranga! Je makampuni yaliyokuwepo yamekufa kama kiwanda ya Nyama Kawe!?
Kweli tunaenda kusiko.
Baada ya Samaki Sasa kuku!
 
Na sababu si hiyo Tu , hata chakula cha kuku ni bei mkasi na madawa pia Kwa sasa ,Mimi ni mfugaji WA kuku Ila Kwa sasa nimesimama kuzalisha kuku WA nyama BEI za soko haziendani na gharama za uzalishaji
 

Tufugie kwenye hizi stoo zetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…