Mtondoli
Member
- Nov 9, 2021
- 70
- 174
Wananzengo wenzangu tunaotegemea mpini wa jembe kuendesha maisha yetu, leo ni tar 23 desemba huku kwetu rukwa na katavi hatujaonja mvua. Nimejaribu kuwauliza wazee wameniambia haijawahi tokea mpaka tarehe hizi mvua hamna, wakati dar kulikuwa mvua kubwa mpaka mafuriko rukwa haijanyesha bado
Jambo hili lina mitazamo mingi.wengine wanadai nchi inapaswa kutubu kwa maana hiyo tuwaite mitume, manabii, wachungaji, mashekhe wafanye maombi ya pamoja au wanasayansi waje watuambie kisayansi hii maana yake Nini? Naamini Kuna Jambo linatakiwa lifanyike
Jambo hili lina mitazamo mingi.wengine wanadai nchi inapaswa kutubu kwa maana hiyo tuwaite mitume, manabii, wachungaji, mashekhe wafanye maombi ya pamoja au wanasayansi waje watuambie kisayansi hii maana yake Nini? Naamini Kuna Jambo linatakiwa lifanyike