hawa wanawake nao wanachangia kupungua nguvu mkuu, baada ya bao la kwanza mtu haoneshi manjonjo wala hamasa ya kumuamsha mzee upyakusima kwa shida pia kushindwa kuamka baada ya bao la kwanza
All the abovempaka leo huwa sijaelewa upungufu wa nguvu ni upi hasa
mzee kusimama kwa shida_ ama kwenda dk chache, ama kushindwa rudia tendo ama kuona pajà na kumaliza hapo hapo au mzee kutumia dk nyingi kuamka baada ya tendo la kwanza, au mzee kusinzia akiwa shimoni na haamki tena
Bonge la ushauriFanya mazoezi mkuu
wewe una tatizo gani kati ya hayoAll the above
Yote hayo uliyoyatajampaka leo huwa sijaelewa upungufu wa nguvu ni upi hasa
mzee kusimama kwa shida_ ama kwenda dk chache, ama kushindwa rudia tendo ama kuona pajà na kumaliza hapo hapo au mzee kutumia dk nyingi kuamka baada ya tendo la kwanza, au mzee kusinzia akiwa shimoni na haamki tena
Pole sana dogo kwa umri huo unatakiwa uwe vizurimiaka 23
punguza mawazoni mda sasa zaidi ya mara tatu nikikutana na mwenzangu nikishindwa kufanya kitu yaani sisimamishi vizuri pia hata hisia nashindwa
asante kwa ushauripunguza mawazo
kula vizuri (epuka vyakula vya mafuta mengi
fanya mazoezi*
kunywa maji mengi na kwa wakati
lala vizuri
mche mungu*
sisimamishi vizuri na kushindwa kabisa baada ya bao la kwanzawewe una tatizo gani kati ya hayo
Na kutuliza mawazoDawa Ni kula vizuri, samaki, mboga za majani Pamoja Na matunda!
Achana Na ma pizza, baga Na machips kuku mkuu!!
Ntambulishe mkeo atakupa mrejeshowewe una tatizo gani kati ya hayo
mwaka jana tuKwanza unatakiwa utueleze ulianza kupiga punyeto mwaka gani halafu ndo tuendelee kukushauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
miaka 23