Upungufu wa walimu 670 wa shule za msingi wilayani Kiteto

Upungufu wa walimu 670 wa shule za msingi wilayani Kiteto

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
940
Reaction score
401
Wilaya ya kiteto iliyoko mkoani Manyara, inakabiliwa na upungufu wa walimu 670 wa shule za msingi hivyo Serikali na wadau wa maendeleo wametakiwa kushirikiana kutatua changamoto hiyo, ili kuongeza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi.

Chanzo: ITV
 
Hivi ni kweli walimu wote wameajirowa kiasi kwamba tunapata upungufu wa walimu 670? Serikali iseme Haina Hela ya kuajiri basi wasisingizie upungufu.
Wamekazana kujenga madarasa sijui nani anafundisha kwenye hayo madarasa.
 
Back
Top Bottom