Upunguvu wa Nguvu za Kiume ni nini?

Stress na kutofanya mazoezi na mpangilio wa chakula na matunda bila kusahau mboga za majani...
 
Unaanza kuwapiga spanner kabla hawajakupa ushauri,utapata ushauri kweli🤔
 
Stress na kutofanya mazoezi na mpangilio wa chakula na matunda bila kusahau mboga za majani...
Mazoezi yawe ni prescribed PE. Siyo unaendesha baiskeli kila siku kama watani zangu Waha kuuza madafu na matunda toka Kigamboni hadi Boko na Wakurya kuuza mayai toka Mwanagati hadi Kibaha alafu awe na nguvu za kiume.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HAUPO KABISA!

NI DHANA ILIYOANZISHWA KWA MALENGO YA JINSIA YA KIKE KUTAWALA YA KIUME KWA KUWAFANYA WANAUME TUWE WATUMWA WA KINGONO NA KIHISIA KWA WANAWAKE!

WAKATI ZAMANI WANAWAKE WALIJITAHIDI SANA KUWAPENDEZA WANAUME LEO WANAUME TUMEINGIA MKENGE WA KUWAPENDEZA WANAWAKE KWA DHANA YA KUWAHONGA VYA THAMANI NA KUWARIDHISHA WAO!

BAADA YA SISI WANAUME KUJIONA DUNI SANA KWA DHANA ZOTE MBILI TUKIWA FRUSTRATED WAKALETA USHOGA ILI KUTUMALIZA KABISAA KIAKILI!

DHANA YA NGUVU ZA KIUME NI LANGO LA KIBIASHARA,UTUMWA NA HATMA YAKE NDIO HUO USHOGA AMBAO NI BAADA YA WANAUME KUJIONA DUNI NA KUPEWA MBADALA KUWA UNAWEZA UKAWA SHOGA KAMA MAMBO YAKIWA MAGUMU!

VIA VYA UZAZI NA UBONGO WA WETU SISI WANAUME UMESHAMBULIWA SANA MWISHONI MWA KARNE YA 20 KUELEKEA 21 KAMA TUONAVYO LEO!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…