Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Uknw nakubalika sana ndio maana wanaona wivu hahahahaha I like it....
mh kweli kina mama wengine wanasafisha matumbo jamaa asingezaliwa bimkubwa angesumbuliwa na michango.
Huyu jamaa ndio ameshakwama. Mwacheni tu. Hahahahahaaaa!
Ova
Hahahahaha nilicheka sana siku ile mimi piaKatika siku niliyo amini kuwa Lemutuz ni mtu wa pekee hapa duniani na ni vigumu kukutana na mtu kama yeye ni nilipo ona hili tamko.....hahahaha
Uknw nakubalika sana ndio maana wanaona wivu hahahahaha I like it....
Kwa haraka haraka hapo ktk hizo post mbili ana like km 900..kwa siku akipata hizo likes kadhaa mara post kadhaa...kaingiza mtonyo...
Kisa na maana
haha badili jina unalotumia na dip yako u change ulifanyaje mpaka akakublock
nimebadili........ sa nikifollow inagoma.....ngoja nijaribu
nilicomment kuwa aache kujidogosha we nikablokiwaa mbali
kwa hiyo alitakiwa kumiliki bucha mkuuMgogo ni mgogo tu, hata asome vipi ,hata apate exposure vipi, huwa anabaki kuwa mgogo tu!
Bila shaka nifah utakuwa hujacheka kabisa hahahahahah uknw I love it ....letamkoz
....mkuu huyu jamaa mkubwa...ingawa sijui umri kamili ....ILA anafanya MAKUSUDI kwa maana ya kuongeza followersHivi huyu jamaa anaumri gani..?
Ananifurahisha sana huyu jamaaa
Hivi huyu jamaa anaumri gani..?
Kwa kifupi huyu ni classmate wa Pinda, kina Ngeleja, Malima,Nchimbi, Simbachawene wote hawa wanampa shikamoo.