Heheh Le mutuz ni hazina kwa Tanganyika, atunzwe!
This kid is approaching 60's...
sasa classmates watampaje shikamoo???
hahaha yesu na mariaaah
Hivi kuelewa nako kumbe ni kipaji?
Huyu jamaa ndio ameshakwama. Mwacheni tu. Hahahahahaaaa!
Ova
Jamaa akiamka asubuhi anawaza akamvizie nani apige nae picha, bora ukose vyote upewe akili tu yatosha
Naona alitaka followers,yaani mjinga kwa kweli eti anawadanganya watu ni project,eti katumwa na diamond.Huyu baba hana kazi kabisa kila tukio analo,alinisikitisha alipomfuatilia mkongo eti akamwambia katembea na mastaa wengi,Le mutuz sijui alifaidika nini,.Pole kwa wanae
damn it....but he sounds 6 yrs old
Hakuna MTU kwenye shobo duniani hapa kama Le mutuz
Mimi akinishobokea kupiga naye picha nakataa!!
Msiniulize mimi ni nani kwani sijajuandaa na maswali
Huyo si Sitti jamani au macho yangu....???
Le mutuz ana mwili mkubwa akili kizibo......ha ha ha ha!