Upweke huu ni hatari…

Upweke huu ni hatari…

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna Muda unaweza komaa mwenyewe ukajifanya mwamba kwamba we ni kidume Kama maziwa utapata tu hakuna haja ya Kufuga ila nimegundua ni kujidanganya!!

Ukiugua gafla lazima uwe na mwenza wa kujua hali yako!!! Bila Kuoa au kuolewa hupati heshima stahiki kabisa Kama wengine wenye Ndoa!!!

Extravagant , Yaan una spend bila control ya mtu wa karibu!!!!! Kuna Muda unatamani kupata wa Ku share naye matatizo Lakin inakuwa shida!!!!! Unakosa wa kupanga naye maendeleo!!!!

Unaonekana hauko sawa!!!!! Tujitahidi tutafte wenza maana ukitoweka Muda huu na jina ndo linafutika hivyo
Nijipatie biyaaa

Britanicca
 
Laleki so afanye punyeto ya nzi..🤣
Wewe pamoja na adabu zako heshima zako unatumia dakika zako kutafuta nzi ili wakufikishe kunako! What a way!!.. a fucking creative way..🤣
😄😄😄 tena atafute wale nzi waliokomaa wanaopatikana ktk kile kipindi Cha msimu wa maembe,atakuja hapa kushukuru mkuu
 
Sijui kama nakuelewa kwamba unataka mwenza kutokea JF. Wapo wengi kama wewe andika direct kwamba unataka mke sijui mpenzi
 
Naona pombe idhaa za yake anyway we oa tu mpage maendeleo mi bado nipo nipo kwanza nazengea wachuchu
 
Back
Top Bottom