Vivian Chomana
New Member
- Aug 9, 2020
- 1
- 14
Habari,
Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 31,nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu kuweka wazi nia yangu.Ninahitaji mwanaume ambaye ana nia ya kuwa na mahusiano ya dhati na tukijaaliwa tufikie ndoa.
Ninayemuhitaji
Awe na umri kuanzia miaka 35-45
Awe mkristo
Awe mkweli na muwazi
Awe na kipato halali
Awe na nia ya dhati siyo mbabaishaji
PM iko wazi ,mwenye uhitaji karibu.
Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 31,nina mtoto mmoja. Ninajitokeza kwenu kuweka wazi nia yangu.Ninahitaji mwanaume ambaye ana nia ya kuwa na mahusiano ya dhati na tukijaaliwa tufikie ndoa.
Ninayemuhitaji
Awe na umri kuanzia miaka 35-45
Awe mkristo
Awe mkweli na muwazi
Awe na kipato halali
Awe na nia ya dhati siyo mbabaishaji
PM iko wazi ,mwenye uhitaji karibu.