Upweke unanisumbua wakuu

huko bank huyawapata???? barabarabi?, jirani? kanisani? hadi uje huku??? wacha mchezo bana, mke mwema anatoka kwa Mungu na wala hutakiwi kutoa tangazo.

Biashara matangazo ikunda, ikibidi hata promoshen unafanya.
 
Kuna ndugu kauliza umri wako, je wewe ni mrefu, mfupi au vipi.
 
alama za nyakati zinaonesha soon sana utampata...umeumba mkuu kile unachoitaji!!
:clap2:
 
Ha ha ha ha Hatimae..........ha ha ha ngoja nikupigie simu kwanza, :clap2::clap2::clap2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…