teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 307
- 204
kumbe nyie wagoni?:
Ndy binafs ni mgoni
basi mmekutana wagoni wa2...ilikuwaje had mkafumaniwa mkuu[emoji23]
Sina shida ya mtwangio kaka nina shida ya mwenza kama mitwangio ipo mingi sanaDuh aisee yaani kweli unashida ya mtwangio
Mimi ni binadamu pia wewe ndiye unayeona boriti languUmeanza vizuuuri umeharibu mwishoni Kwa maneno ya ki dasalama.Haya kila lakher
Pole, samahani kama nimekukwaza.Ila kiukweli umehitimisha vibaya dada yangu mpendwa.Hebu soma tena mada yako.Mimi ni binadamu pia wewe ndiye unayeona boriti langu
Kweli Mungu hamtupi mja wake, ngoja niwahi mapema kabla hii pension ya Coroshow haijaisha.
Na cha kufurahisha zaidi mimi ni chotara wa Kisukuma, Kihaya na Kinyamwezi.
Kubwa zaidi nina uzoefu mkubwa kwenye kukoroma wakati nimelala , hata mbu hawatokusogelea.
Karibu my future wife.
Sina shida ya mtwangio kaka nina shida ya mwenza kama mitwangio ipo mingi sana
hahaaaaaMama mm mnyamwezi kbs umepiga mlemle hebu nitumie picha yako nkuone mapema nisije kuombe penzi kumbe ni shangazi yangu