Urafiki wa Diamond na Alikiba (Picha)

Urafiki wa Diamond na Alikiba (Picha)

hahaha.. unajua kila mtu ana viwango vyake iliakuone wakishua. Wengine wakiona mtu ana gari mbili na nyumba basi wakishua.
kwa maisha ya kibongo bongo " Bob kwao " ni wakishua "" Wanaishi maisha mazuri ya level ya kati"" hata sanaa ya kuproduce " amesomea india" ukipita kwao " mjengo wao unajieleza "" vyema tu
 
Bob jr "" ananafuu mnooo ya maisha "" family yao inajiweza "",acha kutka kuleta uwongo hapa" namjua " vizuri pia
Bob jr hana lolote maisha magumu2.familia yao yakawaida sana! Mie nimefanya haso za mziki nikiwa nao wale,Bob Jr, mr blue,hakim 5,quen Darin,na eby skiz. Maskani yetu ilikuwa mtaa wa lindi na nyamwezi,karibu na kwa mdau mkubwa sana wa music "Gulu"(baba yake mdogo na bob jr na ndiye mmiliki wa G recods )ambaye ndie alikuwa anatupiga tafu.ilikuwa kila jioni huyo Bob Jr hakim5 na ebby skiz wanamenya viazi kwa mchechu.bob Jr kaokota sana siso na mnunuzi wetu mkubwa alikuwa sapinto.Gulu ndio brother aliyewatoa wote hao kwenye msoto.mie nilifeli kwavile ni mkristo.
Rudi tena nitarudi tena kukwambia nani alimtumia kinanda spka nakumlipia kodi ya chumba cha studio Bob jr.
 
Bob jr hana lolote maisha magumu2.familia yao yakawaida sana! Mie nimefanya haso za mziki nikiwa nao wale,Bob Jr, mr blue,hakim 5,quen Darin,na eby skiz. Maskani yetu ilikuwa mtaa wa lindi na nyamwezi,karibu na kwa mdau mkubwa sana wa music "Gulu"ambaye ndie alikuwa anatupiga tafu.ilikuwa kila jioni huyo Bob Jr hakim5 na ebby skiz wanamenya viazi kwa mchechu.bob Jr kaokota sana siso na mnunuzi wetu mkubwa alikuwa sapinto.Gulu ndio brother aliyewatoa wote hao kwenye msoto.mie nilifeli kwavile ni mkristo.
Rudi tena nitarudi tena kukwambia nani alimtumia kinanda spka nakumlipia kodi ya chumba cha studio Bob jr.
Aiseee,, kumbe hata hawa kubana pua wameokota siso nldhani ni wale wa hiphop
 
kwa maisha ya kibongo bongo " Bob kwao " ni wakishua "" Wanaishi maisha mazuri ya level ya kati"" hata sanaa ya kuproduce " amesomea india" ukipita kwao " mjengo wao unajieleza "" vyema tu
Mjengo wakina Bob Jr uko wapi? Acha fix uongo na ujinga wako,Baba yake analelewa Finland,kaoa mzee na anafanya muziki hukohuko,mama yake alyemnunulia nyumba Bob magomeni ni muuza poda.vifaa vya mziki cha G love,na Bob Jr vyote katuma huyo bibi wa Finland
 
Mjengo wakina Bob Jr uko wapi? Acha fix uongo na ujinga wako,Baba yake analelewa Finland,kaoa mzee na anafanya muziki hukohuko,mama yake alyemnunulia nyumba Bob magomeni ni muuza poda.vifaa vya mziki cha G love,na Bob Jr vyote katuma huyo bibi wa Finland
huwezi ''kumjibu " mtu kwa "kutumia hekima ''bila uwepo ""wa maneno ya kashifa """?
 
Bob jr hana lolote maisha magumu2.familia yao yakawaida sana! Mie nimefanya haso za mziki nikiwa nao wale,Bob Jr, mr blue,hakim 5,quen Darin,na eby skiz. Maskani yetu ilikuwa mtaa wa lindi na nyamwezi,karibu na kwa mdau mkubwa sana wa music "Gulu"(baba yake mdogo na bob jr na ndiye mmiliki wa G recods )ambaye ndie alikuwa anatupiga tafu.ilikuwa kila jioni huyo Bob Jr hakim5 na ebby skiz wanamenya viazi kwa mchechu.bob Jr kaokota sana siso na mnunuzi wetu mkubwa alikuwa sapinto.Gulu ndio brother aliyewatoa wote hao kwenye msoto.mie nilifeli kwavile ni mkristo.
Rudi tena nitarudi tena kukwambia nani alimtumia kinanda spka nakumlipia kodi ya chumba cha studio Bob jr.
HUYU SIO MDOGO WAKE DEO KISANDU
 
Back
Top Bottom