kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
Kwa wale tuliopitia na tunapitia urafiki undugu wa mashaka au wasisi njooni tupeane uzofu
Mimi ni mmoja ktk watu ninae pitia majanga yote mabaya kwa watu wangu wa karibu mfano kuna kipindi nilipata mchongo wa kwenda simamia mgodi wa dhahabu nikiwa kazini kuna jamaa zangu wawili wakataka waje kwakua kitaa pagumu..Nikawakubalia walivyofika nikawapangingia zile kazi nyepesi ktk ma karasha tukapiga kazi vizuri wakaja kula njama nabwenyeji wakule.siku tunakamatisha jamaa wakaiba omega dumu moja kilichofuata ni vumbi.
2Hii ndio ilikua komesha nilituma ushenga jamaa angu kumbe mkebalikua demu wake Urafiki wa mashaka mpaka sasa siamni ata kivuri changu leta chako ila me nitaendelea baadae mikasa mingi
Mimi ni mmoja ktk watu ninae pitia majanga yote mabaya kwa watu wangu wa karibu mfano kuna kipindi nilipata mchongo wa kwenda simamia mgodi wa dhahabu nikiwa kazini kuna jamaa zangu wawili wakataka waje kwakua kitaa pagumu..Nikawakubalia walivyofika nikawapangingia zile kazi nyepesi ktk ma karasha tukapiga kazi vizuri wakaja kula njama nabwenyeji wakule.siku tunakamatisha jamaa wakaiba omega dumu moja kilichofuata ni vumbi.
2Hii ndio ilikua komesha nilituma ushenga jamaa angu kumbe mkebalikua demu wake Urafiki wa mashaka mpaka sasa siamni ata kivuri changu leta chako ila me nitaendelea baadae mikasa mingi