M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,736
- 408
Jana katika pitapita nikakutana na hii
Hii ni mashine ya kununulia condom...kinachofanyika unaweka hela kama Tsh 100 hivi kwa juu kuna kitobo cha kuingizia pesa unazungusha kitufe fulani halafu condom inatoka kwa chini unaendelea na mambo yako...
Hayo ni maelekezo namna ya kununua
Mzigo unatokea kwa hapo....
Sasa hivi tushindwe sie tu kutumia hii kitu maana mzigo tunawekewa hadi msalani.
Hayo ni maelekezo namna ya kununua
Sasa hivi tushindwe sie tu kutumia hii kitu maana mzigo tunawekewa hadi msalani.