Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Kwa miaka kadhaa sasa, kumekuwa na mijadala kadhaa Tanzania kuhusu uwezekano wa Watanzania kuwa na uraia pacha.
Serikali imekuwa na woga wa kutoa uraia pacha kwa hoja kwamba itaongeza hofu ya usalama (security issues), kwamba mtu anafaya kosa Tanzania kwa uraia wa Tanzania then anakimbilia nje kwenye uraia wa pili.
Hoja hii mie naipinga sana kwa sababu kuna utaratibu wa kimataifa wa kukabiliana na uhalifu (cross border crime controls) kuna ushirikiano wa kipolisi kimataifa (Interpol).
Tunapoteza vingi sana kwa kutokua na uraia pacha, hasa kimapato. Tulijadili sana hili suala kwenye katiba pendekezwa miaka ile, ila likapingwa na wajumbe wa bunge la katiba.
Ningeomba serikali ilione hili kwa macho marefu, iruhusu uraia pacha.
Serikali imekuwa na woga wa kutoa uraia pacha kwa hoja kwamba itaongeza hofu ya usalama (security issues), kwamba mtu anafaya kosa Tanzania kwa uraia wa Tanzania then anakimbilia nje kwenye uraia wa pili.
Hoja hii mie naipinga sana kwa sababu kuna utaratibu wa kimataifa wa kukabiliana na uhalifu (cross border crime controls) kuna ushirikiano wa kipolisi kimataifa (Interpol).
Tunapoteza vingi sana kwa kutokua na uraia pacha, hasa kimapato. Tulijadili sana hili suala kwenye katiba pendekezwa miaka ile, ila likapingwa na wajumbe wa bunge la katiba.
Ningeomba serikali ilione hili kwa macho marefu, iruhusu uraia pacha.