Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo misemo ya mabosi wako? Vibarua utawajua tu. Unaleta mifano ya michezo kama hujuhi alhyeua michezo ni ccm? Wakati wa nyerere tulikuwa wapi? Je watanzania wangaph walileta hela wakati huo?
Uzuri wake ni upi?
Interesting finding--- All Jew Senators (13) and Congressmen/Representatives (27) are dual citizens of Israel and US case in point Joseph Lieberman, Carl Levin, Herb Kohl
Further, below are the former U.S. Government Officials who have Dual Citizenship with Israel and the U.S. (These are only a few, there are many more who are currently serving in the US government)
Michael Chertoff
Former Assistant Attorney General for the Criminal Division, at the Justice Department; and former head of Homeland Security.
Richard Perle
One of Bush's foreign policy advisors, is the chairman of the Pentagon's Defense Policy Board. A very likely Israeli government agent, Perle was expelled from Senator Henry Jackson's office in the 1970's after the National Security Agency (NSA) caught him passing Highly-Classified (National Security) documents to the Israeli Embassy. He later worked for the Israeli weapons firm, Soltam. Perle came from one the above mentioned pro-Israel thinktanks, the AEI. Perle WAS one of the leading pro-Israeli fanatics leading this Iraq war mongering within the administration and now in the media.
Paul Wolfowitz
Former Deputy Defense Secretary, and former member of Perle's Defense Policy Board, in the Pentagon. Wolfowitz is a close associate of Perle, and reportedly has close ties to the Israeli military. His sister lives in Israel. Wolfowitz came from the above mentioned Jewish thinktank, JINSA. Wolfowitz was the number two leader within the administration behind this Iraq war mongering. He later was appointed head of the World Bank but resigned under pressure from World Bank members over a scandal involving his misuse of power.
Also, there are others like Michele Bachmann (U.S. Rep.) who has dual citizenship of US and Switzerland
Silly argument, kwani fainali za african cup tulicheza lini mara ya mwisho? kwa hiyo hao ccm ni DUAL siyo? tunakimbilia kwenye majibu rahisi badala ya kuona chanzo halisi. Purchasing power kama kidogo inaua kila kitu hilo ndilo jibu sahihi, Yes i said it.
Wewe hapo hata ukipiga je mzigo kwa bidii zote maendeleo hayatapatikana badala yake mtanyang'anyana maendeleo na equation ina jump out of balance ya kwamba wewe utakuwa tajiri na jirani yako atakuwa masikiniiii, kwa sababu hakuna mlichoingiza ila mlichofanya kwa vile wewe unapiga mzigo sana umechukua share ya njirani yako, lakini mkija kutafuta mean value nyote ni masikini wa kutupwa.
Hata nyote hapo ndani mkiamua kulima sana na kufanya kazi kwa bidii umasikini hauondoki, kwa sababu at the end of the day mtakuwa na product ya ziada ambayo hakuna wa kuinunua na hata wakinunua ni bei ya chini kama bei ya daladala, mta relax na kuyatupa hayo mazao, kama viazi vinavyoozea mashambani wakati wa mavuno na kusingizia eti infrustucture mbovu ya usafirishaji, wakati kimsingi ni purchasing power ndo hakuna.
Serikali yoyote/chama ambacho hakina sera ya kuweza kupata fwedha nje, kinawazingua tu. Hayo madini ni ya wakoloni ktk ardhi yetu, anayewadanganya kubadili hiyo mikata anawatumia tu ili apate kufika ikulu, hata Kikwete naye aliwaahidi hivyo hivyo atabadiri mikataba akiwa rais.
Naona bado hujajifunza hayo matusi yako unayopewa ukiwa kibaruani usitumi hukun, unajidhalilisha.
Nijuiavyo ili kupata fedha za kigeni ni lazima to Uza Nje.
Argument yako ya hela nimekuuliza tenba kawazuia nani kuleta hela huku? Kwani hamna ndugu huku? Hivi mkiwa Dual ndio mtaleta nyingi zaidi?
Wacheni mawazo finyu,
Kuhusu mataifa Africa kwa akili yako hiyo tiuliyocheza fainali ni kwa sababu ya hela za nje?
Mbona huna hoja?
Nimekuisjhahuri na nina kiushahuri tena kajipange uje na hoja mbadalla na yenye mashiko na sio hii ya kutuma hela.
Mnataka kutuaminisha kuwa tumekwama kwa sababu ya kutokuwa na sheria inayo ruhusu dual citizenship?
Si kweli, kilichotukwamisha ni kuwa hatuna njia mbadala ya kuweza kuingiza fwedha ndani kutoka nje. Ndiyo maana tumekwama, ktk biashara ni vigumu kushindana huko ktk utandawazi huu, na ktk madini siamini kama haya madini yatakuja kuuzwa kwa bei ya soko halisia maana hiyo ndo roho ya mabeberu wa magharibi. Sidhani kama kutakuja kiongozi wa kuweza kubadili hiyo mikataba, kama kweli unaangalia mambo kwa uhalisia wake.
Utalii watu wa magharibi tunaowategemea nao wapo ktk hali ngumu ya kiuchumi, hivyo unnecessary cost, kama kutalii wanazipunguza sana.
Basi serikali inachokuwa imebaki na cha uhakika na kuwawezesha watanzania walioko nje huko waliko wapate kazi nzuri na hata wakirudi nyumbani wanarudi na ujuzi wa kutosha, kutokana walikuwa ktk nafasi nyeti na kuchota ujuzi.
Wahindi, hata kwa teknolojia wanasonga mbele sana kwa sababu wengi walichota utaalamu na kurudi nyumbani. ukiangalia kama UK karibu kila sekta ni wahindi watupu.
Kwa hiyo kuruhusu uraia kwa namna nyingine unakuwa una train watanzania ktk nyaja tofauti kwenye teknolojia ya first class, leo Tz hata kui install ka kiji-system fulani tu lazima eti wataalamu watoke nje, na kuja kuchota mapesa tena badala ya kuzileta.
Kumbe nina ongea na mtu ambaye hata hasomi btn lines. Nitarudia kukuelewesha , huo ndo wajibu. Nimekuwekea hiyo ya mataifa ya africa ili wewe mwenyewe uone soka ama michezo imekufa tangu lini. Na sio kikimbilia sababu nyepesi za mafisadi.
Nitarudia tena, kwa sasa watanzania hawatumi fwedha nzuri kwa sababu wengi hawana uraia wa nchi za ulaya na kazi wanazopata kutoka na kizuizi cha uraia hazina tija nzuri, hivyo hata rate ya kutuma fwedha inakuwa kidogo. Hii ndo inatofautisha kati za raia wa nchi zingine kama Ghana, nigeria kenya nk.
Kuhusu fwedha za kigine hakuna pincipal eti mpaka uuze kitu nje, principal ni uwezo wa kuingiza hizo fwedha za kigeni ndani, kama vile wahindi wanavyofanya biashara hapo kisutu na kuziweka fwedha ndani na mwisho kuzipeleka india, hiyo ni moja ya njia. Japo, njia kuu inabaki kuuza nje, lakini kama ungekuwa unafuatilia kinachoandikwa kwa mantiki yake,ungetambua kwamba serikali yako haina mbinu ya kuweza kuuza bidhaa nje ya nchi, na badala yake njia kuu ilizonazo kupata hizo fwedha ni
1.Utalii
2.kuuza madini kitu ambacho hakuna faida hapo zaidi ya kubakia na mashimo
3. Disapora.
Nimekubainishia, ya kwamba nchi kama kenya inatushinda hata hawana madini kwa sababu wao wana uwezo wa kuuza bidhaa nje ya nchi kama Kenya airways, wana makampuni nje ya Kenya, na wana disapora la kutosha lenye Dual.
Hope, umeelewa.
Reasonable people can disagree and one of the reasons we want to have a discussion is to get issues out of this matter in the open so people can talk about them. Otherwise I can argue that people with dual citizenship, their loyalties are always misdirected!
Sjakuelewa.
Msimamo ni hatutaki mambo hayo ya Dual kama umehamua kuwa muhindi au mmarekani siuwe? Amekuzuia nani?
Nitarudia tena, kwa sasa watanzania hawatumi fwedha nzuri kwa sababu wengi hawana uraia wa nchi za ulaya na kazi wanazopata kutoka na kizuizi cha uraia hazina tija nzuri, hivyo hata rate ya kutuma fwedha inakuwa kidogo. Hii ndo inatofautisha kati za raia wa nchi zingine kama Ghana, nigeria kenya nk.
Kuhusu fwedha za kigeni hakuna principal eti mpaka uuze kitu nje, principal ni uwezo wa kuingiza hizo fwedha za kigeni ndani, kama vile wahindi wanavyofanya biashara hapo kisutu na kuziweka fwedha ndani na mwisho kuzipeleka india, hiyo ni moja ya njia. Japo, njia kuu inabaki kuuza nje, lakini kama ungekuwa unafuatilia kinachoandikwa kwa mantiki yake,ungetambua kwamba serikali yako haina mbinu ya kuweza kuuza bidhaa nje ya nchi
Nimekubainishia, ya kwamba nchi kama kenya inatushinda hata hawana madini kwa sababu wao wana uwezo wa kuuza bidhaa nje ya nchi kama Kenya airways, wana makampuni nje ya Kenya, na wana disapora la kutosha lenye Dual.
.We are living in a very competitive world. Denying the right of dual citizenship to Tanzanians will only hinder their chances of success . It is a time to get over "communist" mentality. The world is changing...
Huo ni msimamo wako binafsi, lakini the thing is, whether you like or not,dual is around right there. Sahizi tungekuwa tunaongelea namna ya kuweka sheria maridhawa ili kuto compromise tija za taifa.
Kenya walikuwa wanatuma pesa nyingi sana kwao hata kabla ya dual citizenship kukubaliwa. Tatizo nyie watanzania mnapiga box, wakati wenzenu wanasoma na kupata nafasi nzuri.
Sasa unategemea ukiwa unafanya kazi kama mhudumu kwenye mgahawa au kituo cha mafuta, hata ukipewa uraia wa nchi mbili, utatuma pesa nyingi? Utasema oh nitapata kazi nzuri, kwa elimu gani uliyonayo!!
Halafu, hata ukichukua uraia wa nchi nyingine, haukatazwi kuleta pesa hapa Tanzania kama mwekezaji. Tena utapokelewa kwa mikono miwili, maana serikali hii inawajali sana wawekezaji. Pia utakuwa na added advantages za kuifahamu vizuri nchi kuliko wawekezaji wengine.
Chifu, diaspora haipo katika vyanzo vya mapato ya kigeni. Ni kilimo, utalii na madini.
Pili, ushaambiwa India hawana dual citizenship. Hivyo mfano wako ni irrelevant. Wanapeleka kama wahindi, na si kama wahindi-watanzania. Pia kumbuka Tanzania hatuna dual citizenship, mfano wako unakuwa mfu tena.
Kwa hiyo unaamini ukipewa uraia wa nchi mbili, basi utakuwa chanzo kikuu cha mapato ya kigeni?!? Baloney!
Duh! Kenya wameruhusu dual citizenship toka mwaka jana. Unaitumia kama reference ya mafanikio? Umesahau wakenya walio nje ndiyo walikuwa wanaongoza kwa kutuma remittances kwao? Tena wakiwa bila dual citizenship?
Sasa nyie watanzania mlio nje mnafanya nini? Someni na mfanye kazi za maana ndipo muweze kuleta ngawira za kueleweka, la sivyo, endeleeni kutuletea fedha za kununulia pamba kariakoo!
Bado sijaona hoja nzito za kuruhusu uraia wa nchi mbili.
Mkubwa huyo hapo ndo mimi, fuatilia hiyo link
http://www.linkedin.com/profile/edit?trk=tab_pro