Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Mimi sio daktari ila nasikia ni kianzilishi kikubwa sana cha magonjwa ya moyo.
Vijana wenzangu ukifikia hali ya kupiga nyeto mpaka mara tano kwa siku basi ujue kwamba una hali mbaya sana.
Kama kuna dawa ya kuacha nyeto basi wataalamu tusaidieni.
Ndio maana siku hizi watu wenye matatizo ya afya ya akili yanaongezeka sana.
Leo nimeandika kwa pole sana sababu kuna jamaa yangu kanihadithia kwamba. Sikuhizi dawa ya kuchelewa kukojoa ni pombe kali na kupiga nyeto.
Ikawe siku njema kwenu
Vijana wenzangu ukifikia hali ya kupiga nyeto mpaka mara tano kwa siku basi ujue kwamba una hali mbaya sana.
Kama kuna dawa ya kuacha nyeto basi wataalamu tusaidieni.
Ndio maana siku hizi watu wenye matatizo ya afya ya akili yanaongezeka sana.
Leo nimeandika kwa pole sana sababu kuna jamaa yangu kanihadithia kwamba. Sikuhizi dawa ya kuchelewa kukojoa ni pombe kali na kupiga nyeto.
Ikawe siku njema kwenu