Uraibu wa picha za ngono na kujichua

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Mimi sio daktari ila nasikia ni kianzilishi kikubwa sana cha magonjwa ya moyo.

Vijana wenzangu ukifikia hali ya kupiga nyeto mpaka mara tano kwa siku basi ujue kwamba una hali mbaya sana.

Kama kuna dawa ya kuacha nyeto basi wataalamu tusaidieni.

Ndio maana siku hizi watu wenye matatizo ya afya ya akili yanaongezeka sana.

Leo nimeandika kwa pole sana sababu kuna jamaa yangu kanihadithia kwamba. Sikuhizi dawa ya kuchelewa kukojoa ni pombe kali na kupiga nyeto.

Ikawe siku njema kwenu
 
Mbona haueleweki unasema nini, mara inasababisha ugonjwa wa moyo mara afya ya akili ebu tulia uandike vizuri tukuelewe yaani nyeto imekutunza umefika hapo ulipo saizi unajifanya mjanja unaikashifu idiot.
 
Bila nyeto kesi za ubakaji zingekuwq nyingi huku vijana wetu wakiozea magerezani.

Bila nyeto watu wengi wangeugua magonjwa ya ajabu kiasi cha kupoteza nguvu kazi.

Bila nyeto watu wa kipato cha chini tungenyanyasika Sana.

NB: Kila kitu duniani kina faida na hasara pia kila kitu inapaswa kifanyike Kwa wastani. Punyeto ipigwe pindi kichupa kimejaa,siyo demu akikaa uchi tu ,tayari ushakimbilia bafuni na Kipande chako cha jamaa.

Mfano mboga isiyo na chumvi hainogi,lakini chumvi ikizidi ni kero pia.
 
We listen we don't judge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…