Uraibu wa picha za ngono na kujichua

Uraibu wa picha za ngono na kujichua

Mimi najuaga nyeto inapigwa kipindi kile cha uvulana sasa nashindwa kuelewa mnapigaje baada ya hapo? Wanawake wote hawa?
 
Mimi sio daktari ila nasikia ni kianzilishi kikubwa sana cha magonjwa ya moyo.

Vijana wenzangu ukifikia hali ya kupiga nyeto mpaka mara tano kwa siku basi ujue kwamba una hali mbaya sana.

Kama kuna dawa ya kuacha nyeto basi wataalamu tusaidieni.

Ndio maana siku hizi watu wenye matatizo ya afya ya akili yanaongezeka sana.

Leo nimeandika kwa pole sana sababu kuna jamaa yangu kanihadithia kwamba. Sikuhizi dawa ya kuchelewa kukojoa ni pombe kali na kupiga nyeto.

Ikawe siku njema kwenu
Nyeto haina uhusiano na magonjwa ya moyo wala matatizo ya afya ya akili. Leta uthibitisho wa kisayansi wa uliyoyasema kutoka reputable sources tuone ukweli wa taarifa zako. Kwanza nyeto ni sehemu ya afya kama hujui.
 
Nyeto haina uhusiano na magonjwa ya moyo wala matatizo ya afya ya akili. Leta uthibitisho wa kisayansi wa uliyoyasema kutoka reputable sources tuone ukweli wa taarifa zako. Kwanza nyeto ni sehemu ya afya kama hujui.
Unapiga nyeto mara ngapi kwa siku?
 
Back
Top Bottom