Nenda Pale msikiti WA Qibla Tain kariakoo mtaa WA agrey,au mtaa msikiti WA ngazija posta siku ya Ijumaa.. kuna watu wana hizi Tiba dawa zake cheapSamahani wadau nahitaji msaada nashida ya kuwa na uume mdogo na kuwai kumwaga na kila aina ya matatizo kutokana na kujuchua toka mwaka 2011 mpaka sasa nmeanza program ya NOFAP nko siku ya 10 nahitaji msaada kwa yeyote yule alie wai kuwa na hali kama yangu.
Ambae ka experience ili suala la murstabation kwa miaka kuanzia kumi alie pona kabsa na kuwa mwanaume normal kamili kama wengine na kuweza kupata mtoto anisaidie kunipa hints aliwezaje na ilichukua muda gani kupata tiba ntashukuru sana
Mkuu nenda kajaribuKwahiyo nyeto ndio imefanya tango lako ligeuke kibamia
NashukuruNenda Pale msikiti WA Qibla Tain kariakoo mtaa WA agrey,au mtaa msikiti WA ngazija posta siku ya Ijumaa.. kuna watu wana hizi Tiba dawa zake cheap
Asante mkuuWelcome to reality,
Ma-feelings unayopataga kwenye punyeto na kuangalia videos za L hazipogi kwenye real life
Achana nayo hayo mambo yatakugeuza shoga
Kuna roho chafu huwa zinakufuata pale unapopiga punyeto na ndizo zinakupa hofu baada ya tendo Hilo
Achana tamaa, tamaa hutokaa uzimalize , moyo wako urizike
[emoji3][emoji3][emoji3]Mi nishawahi kujiapiza nikipiga tena nife lakini wapii, nikikaa peke angu ghetto mchana NANYETOKA ,
Naona inahitaji kujichanganya sana, usikae peke ako.
Sasa kama unaweza kujua una uume mdogo utashindwaje kujua kama una uume mkubwaUnamuda gani toka uanze kupiga, unaweza zani uume wako mkubwa kumbe hamna kitu mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kibamba karibu ivo, Watu wanamla ata Beyonce akiwa MarekaniWatu wa nyeto ni watu wa rohoni kabisa.
[emoji23]Imagine Kumchakata mtu aliye kibamba na ww uko Pugu
What a miracle !!
Waache waringe .. kosa ni mnyamwezi kutimba mtaan na kujifungia gheto.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kibamba karibu ivo, Watu wanamla ata Beyonce akiwa Marekani
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Ohoo wanaliwa sana tuWaache waringe .. kosa ni mnyamwezi kutimba mtaan na kujifungia gheto.
Wakihisi km wanapelekewa Moto wajue tayari[emoji23][emoji23][emoji38]
HILI NDO SULUHISHO LAKE, AFUATE MANENO HAYAUna hofu sana kijana na hilo ndilo tatizo kubwa zaidi kuliko hilo la nyeto. Tatizo lako sio kubwa kiviiile...watu wamepiga nyeto kwa miaka 20 now na ndoa wanamudu vizuri tu. Tuliza kwanza akili na ufanye mazoezi kwa tulivu na mashine itakua imara tu