Samahani wadau nahitaji msaada nashida ya kuwa na uume mdogo na kuwai kumwaga na kila aina ya matatizo kutokana na kujuchua toka mwaka 2011 mpaka sasa nmeanza program ya NOFAP nko siku ya 10 nahitaji msaada kwa yeyote yule alie wai kuwa na hali kama yangu.
Ambae ka experience ili suala la murstabation kwa miaka kuanzia kumi alie pona kabsa na kuwa mwanaume normal kamili kama wengine na kuweza kupata mtoto anisaidie kunipa hints aliwezaje na ilichukua muda gani kupata tiba ntashukuru sana[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Ambae ka experience ili suala la murstabation kwa miaka kuanzia kumi alie pona kabsa na kuwa mwanaume normal kamili kama wengine na kuweza kupata mtoto anisaidie kunipa hints aliwezaje na ilichukua muda gani kupata tiba ntashukuru sana[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]