Hypershulemia
JF-Expert Member
- May 19, 2021
- 275
- 841
Habari zenu MMU,
Mimi ni kijana mwenzenu leo acha nifunguke nipate msaada wa mawazo.
Mimi nilianza nyeto mwaka 2014 baada ya kufundishwa na mtoto wa jirani yetu. Tokea hapo nimepiga nyeto sana wastani mara tatu kwa wiki!
Sasa katika pita pita zangu mitandaoni nikaona bandiko kuwa nyetu zinapunguza size ya dushe, na mimi nikikumbuka zambani mzigo ulikuwa mrefu kama 8 inches leo nikapima nakuta ngoma ipo 6 inches hili suala limeniuma sana!
Pia naona nimeanza kupoteza kumbu kumbu sababu ya nyeto
Sasa wakuu mliopitia changamoto kama hii mliwezaje kuondokana nayo/kuiacha?
Naomba kuwasilisha.
Mimi ni kijana mwenzenu leo acha nifunguke nipate msaada wa mawazo.
Mimi nilianza nyeto mwaka 2014 baada ya kufundishwa na mtoto wa jirani yetu. Tokea hapo nimepiga nyeto sana wastani mara tatu kwa wiki!
Sasa katika pita pita zangu mitandaoni nikaona bandiko kuwa nyetu zinapunguza size ya dushe, na mimi nikikumbuka zambani mzigo ulikuwa mrefu kama 8 inches leo nikapima nakuta ngoma ipo 6 inches hili suala limeniuma sana!
Pia naona nimeanza kupoteza kumbu kumbu sababu ya nyeto
Sasa wakuu mliopitia changamoto kama hii mliwezaje kuondokana nayo/kuiacha?
Naomba kuwasilisha.