Uraibu wa punyeto utanimaliza, nifanyeje niweze kuacha?

Uraibu wa punyeto utanimaliza, nifanyeje niweze kuacha?

Njia ya kuepuka punyeto...Fanya mazoezi ya nguvu kila siku..acha kuangalia picha za mapenzi...jiwekeze sana kwenye ibada...hili tatizo la punyeto limekuwa likienea kwa kasi watu wanafanya mauji ya halaiki bila kujua nashauri serikali kupitisha sheria ya mauji kupitia punyeto...ukibainika unafunguliwa kesi ya mauaji nasio kuua bila kukusudia ili kukomesha hii tabia inayopelekea nguvu kazi kupungua na uwezo wa kufiki kwa vijana kupungua.
 
Wakuu hivi hizi inch za mtulinga tunazipima ngoma ikiwa imesimama au ikiwa katika hali ya kawaida?
 
Wewe sema ukweli kwamba saivi unapiga kamoja na uume ukiwa legelege tukusaidie. Hizo 6 inches unajisingizia.

Ukiona mpaka unakuja humu tayari kimesha kulamba 😁
Duh! Saidia wa dizaini hii mkuu
 
Hii kitu ina athari, kuna mada moja mdau mmoja alieleza ukweli kabisa wa athari zake.

Miongoni mwa athari, kusahau-sahau, kuwa na hasira, woga, kukosa raha. Ukiacha mfululiizo baada ya kama waiki mbili hizi athari utaona zimeanza kuondoka ondoka.

Unafikiri baadhi ya mapadri wa RC wanafanyaje, hii kitu ni automatically kwa kila mwanaume.
 
Endelea tu tena fanya mara tatu kwa siku ili nguvu ziishe kabisa na kibakie kama kishungi cha sigara, utakuja kunishukuru kwani utakua umepata suluhisho la kudumu la tatizo lako.
 
Na kuhusu nguvu za kiume au kupungua na kuongezeka -haya mambo yapo kisaikolojia zaidi hakuna utafiti wowote kisayansi ambao umethibitisha hilo swala.
You made this right, hakuna uhusiano kabisa kati ya hivo viwili.
 
Dawa ni wewe kuamua kuacha, hata aje Askofu kukuwekea mikono, au Imamu kukusomea visomo kama wewe mwenyewe haujaamua huwezi kuja kuacha.

Madhara yake ni mengi kuliko huo uroda unapata kwa sekunde 15..
 
Back
Top Bottom