Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Wewe usituharibie pozi ukitaka kuongozwa miaka 20 na hiyo shida yako iombe ihamie nyumbani kwako ikuongoze hatumtaki
 
"......... ..ikulu ni mzigo mzito........ukimuona mtu anakimbilia/kutafuta urais kwa njia yoyote ile na anatoa fedha ili kufanikisha.....huyo hatufai kabisa... na muogopeni kama ukoma.... .....
.........." mwlm JK
 
Hakuna watu WAPUMBAVU kama % fulani ya wabongo, yani mmekaa wanaume na map.umbu yenu kusapotiana vitu vya kusadikika?,Kama Lowassa alichemsha na kubaki kuwa raisi wa mitandaoni huyo Membe sio 2020 tu hata 2025 hawezi kuwa kiongozi wa nchi hii.Sana Sana mnamtafutia matatizo naye apigwe Parkinson Disease aanze kutetemeka tu.Tatizo ni pale mnapo undersetimate Serikali ya Tanzania, achana nayo kabisa msiichukulie kama Jamii Forums ambapo mtu anaota ndoto mchana anaamka anaileta humu na waotaji wenzake Kama yeye wanampa likes.
 
Ni mtazamo binafsi lakini wenye kuakisi ukweli... CCM inaandaliwa kuingia kwenye wakati mgumu tena, ni mtifuano wa ndani kwa ndani
. Urais 2020
. CCM asili dhidi ya CCM makinikia(mabaki)
. CCM kindakindaki dhidi ya CCM maslahi (wakuja)
Bernard Camilius Membe diplomat na jasusi wa muda mrefu, mshindwa wa kinyang'anyiro cha urais ngazi ya chama bado hajakubali kushindwa, bado ana ndoto ileile ya kukalia kiti kikubwa na amekamia hasa
Haiba ya Membe ni reincarnation ya haiba ya Kikwete (carefree) ni tofauti kabisa na haiba ya mzee baba KUKAZA hasa.... Membe ni expert mzuri sana kwenye mahusiano ya kimataifa, na pengine kwenye ushushushu lakini si kwenye siasa tena kukalia kiti kikubwa
Kipindi kile wakati wa kutafuta nafasi ya kuteuliwa, hakuonesha tofauti na wanaccm wengine, hakuongea cha ziada, wote walifanana... Hakutupa dira na maono ya tulipotoka, tulipo na tunapoelekea.. Wote katika ujumla wao ndani ya CCM walifanya mahubiri ya kisiasa
Akiwa shina moja na JK, ana sehemu kubwa ya lawama nchi ilipokuwa imefikia kipindi kile, kumpa usukani na kuendelea kuchanja mbuga kuelekea maporini

Sasa basi kwanini nasemwa asibezwe?! Huyu ni tarumbeta ya kupaza sauti ya wanaccm wengi wanaougulia kimyakimya na kushindwa kuongea kwa uwazi, kwa sauti
Huyu ni sauti ya manung'uniko ya wanaccm wengi ambao hawaridhishwi kabisa na mwenendo wa chama kwenye kila kitu lakini kubwa kuliko yote ni kule kuwapa wahamiaji (haramu) madaraka na nafasi za upendeleo... Wanapatwa na hisia kuwa kuna CCM mpya inaundwa taratibu ndani ya CCM halisi (CCM ya mwenyekiti dhidi ya CCM ya wote)
Ni kupitia hayo kwa uchache ndani ya mengi chamani, Membe ananijenga kwa kasi ya ajabu, na harakati zake hizo zilianza mara baada ya uchaguzi mkuu.... Membe ana kundi kubwa nyuma yake.. Ni vigumu kumdhibiti kama walivyodhibitiwa kina Makamba Jr, Lameck, Nape nk.. Huyu ni kada mzoefu chamani na wa muda mrefu... Ametumwa...!!

2019 hiyoo bado siku chache tu, Membe yuko nje ya nchi anakotuhumiwa kupanga mambo yasiyowapendeza watu fulani.. Huku wengine wakiona ni sawa... Hapa ni swala la mizania.. Nani ana wafuasi wengi zaidi wa hiari...
Membe anarudi kukanusha/kujibu tuhuma,.. Anajipanga kisawasawa, ameshaanza kusafishiwa njia na timu zake mitandaoni .... Ni yeye tu ndio anasikika na kujadiliwa... Na kwa sehemu kubwa akisemwa vizuri na akitabiriwa vema... Hivi vitu havifanyiki kwa bahati mbaya... Ni mipango inayosukwa kwa ustadi sana..

Hivyo basi pamoja na kwamba hatoshi kukalia kiti kikubwa, lakini ni tishio kubwa... Akiamua (kwa nguvu ya wapambe wake) ataiteka December yote.... Atavuruga hasa... Atawavuruga.... Na CCM itaingia 2019 ikiwa mapande makubwa matatu
. CCM mwenyekiti
. CCM Membe
. CCM wengine
Ujumbe huo wa Nape unabeba siri kubwa nyuma ya kinachoendelea sasa chamani... Muda utasema..
 
Hahaahh hamna inafichwa. Kati ya bilioni 600 alizoahidi hajalipa hata bilioni Moja.unaambiwa wakulima wanaogopa kujtokeza ukisema una gunia mia ya korosho unaambiwa tupeleke shambani ulipolima tuone kama kuna uwiano. Masharti yaliyopo mkuu acha mi nimepigiwa simu na jamaa yangu ni mfanyabiashara ya kororosho huko kusini
Ahh mbona inasemekana wakulima wanapokea cash money ya korosho mkuu!

Ova
 
Kama kawaida njaa zinaendelea kutikisa vichwa vya watu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndoto
 
Membe ni chama gani?
Kama ni kilekile huo ni upuuzi.
Labda kazi na bata maana hata chadema ni wasanii tu.
 
Stone tangawizi akae pemben, kasababisha chuki za kiitikadi. Ccm wa sasa hv hata mpinzan akipigwa risas wanashangilia huku zaman tulikua tunalia pamoja
 
Duh

Ova
 
MAKAMANDA mna roho ngumu sana mlikuwa na Safari ndefu sana ya Lowasa,sasa hivi mmeanzisha safar ya MEMBE,2020 naiman mtaanzisha safar nyingine,msichoke atafutae hachoki naimani 2050 anagalau mtaisongelea kidooogo Ikulu ya CHAMWINO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…