Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Wanachokifanya watu wachache ambao wanazusha skendo kuhusu membe wanajaribu kumbomoa kisaikolojia ili kama alikuwa na nia hiyo aseme kama ambavyo kichwa cha habari kimesema.

Watu wanasiasa sana.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mishahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), bashiru Ally kumtaka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya nchi za nje, Benard Membe kwenda ofisini kwake kujibu tuhuma dhidi yake za kuanza Kampeni za kuwania urais 2020, Mwanasiasa huyo Mkongwe na anayesemekana kuitumikia taasisi nyeti ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania akiwa nje ya nchi aliitikia wito wa Dkt. Bashiru lakini akalalamikia utaratibu uliotumika kumuita huku akimtupia lawama mwanatauponya huru Cipryan Musiba kuwa ndiye aliyezusha madai kuwa anajiandaa na urais 2020.

Hata hazijapita siku mbili tangu KM kumtaka Membe aende ofisini kwake na Membe kuitikia wito, wamejitokeza marafiki zake wa.muda mfupi kurusha picha wakiwa naye na maneno ya hapa na pale kutaka kuuonesha Umma kuwa Membe ndiye na Wako na Membe na kamwe hawatamwangusha. Wanaahidi kula naye bata. Watu hawa ndiyo walewale ambao wamediriki hata kuhujumu jitihada za Serikali ya awamu ya tano katika kuleta maendeleo, Kupambana na ufisadi na kutetea rasilimali za Taifa. Mbaya kabisa watu hawa wanaweka picha wakiwa na Membe na wazungu ambao uvibaraka wao kwao katika kulihujumu taifa ndiyo kwanza umepamba moto. Wameshindwa hata kuficha hisia zao na kumfichia siri mbobezi wao kama wanavyomuita. Kwanini Watanzania tusiamini alichokisema KM B. Ally? Kwanini Watanzania tusiamini mbobezi wao yuko nyuma ya ukibaraka wao ili wampigie debe kuelekea 2020?

Niwakumbushe akina Zitto, Lema, Jusa, Yeriko Nyerere na weingine ambao leo ndiyo wamjazao upepo mbobezi wao kwamba, 2015 Membe na Lowassa waliingia tano bora kwenye kutafuta ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM lakini kukatwa kwa Membe haikuwa habari ya mjini bali kukatwa kwa Lowassa. Maana yake ni nini? Kama umaarufu wa kisiasa ungekuwa unaonekana na ukapinwa kwa urefu, basi Membe hamfikii Lowassa hata kwenye magoti. Lowassa alikatwa, akahamia Upinzani kwa mbwembwe, akateuliwa kugombea urais akakosa , hadithi ikaishia hapo na maisha yakaendeleo. Leo Lowassa anaonekana msaliti tena kwa Chadema kwa sababu tu ya kutaka angalau aonekane anazungumza na Mkuu wa nchi ikulu. Membe ni nani? Atakatwa, atahamia CHADEMA au ACT, mnajua hatakuwa na. Madhara yoyote kama ilivyotarajiwa kwa Lowassa, angalau Lowassa alifurukuta. Endeleeni kumjaza upepo bila shaka na nyie mmepata pa kupumulia baada ya kukosa hoja za kushindana na Serikai ya awamu ya tano, Serikali ya wanyonge, Serikali ya SGR, serikali ya stieglers Gorge, Serikai ya Madege, Serikali ya elimu bure, Serikali ya Maji kwa kila Mtanzania, Serikali ya Umeme nchi nzima, Serikali ya Barabara za juu na chini, Serikali inayowajali Wamachinga, Serikali ibayowatetea Wakulima wake waoate bei bzuri yq mazao yao, Serikali inayolinda rasilimali za nchi, Serikali inayopinga kwa nguvu zote Ushoga.

Aidha nimtahadharishe Membe. Apime uwezo wake na uwezo wa Lowassa kisiasa. Hawa wanaomjaza upepo leo ndiyo waliouanika ufisadi wa Lowasaa wakamuita kila aina ya jina mara Paka shume, mara Fisadi, mara jizi, ndiyo hao hao 2015 waliosema CCM haina uwezo wa kumkata Lowassa, Akakatwa akahamia. Kwao wakiamini sasa Upinzani unaingia ikulu kupitia yeye. CCM siyo Chama cha Mwenyekiti wa kudumu, CCM siyo chama. Cha Kiongozi wa Chama (Yule mwenyekiti alipoteuliwa kuwa RC basi Kiongozi wa Chama akavaa kofia zote, Chama kimebaki kuwa mali yake ). Lakini hata hivyo tangu lini Zitto, Lema, Yeriko Nyerere, Jusa na Upinzani kwa ujumla wao wakawa marafiki wa Membe? Lini? Labda mwenye kumbukumbu atuje.

CCM ni Taasisi, Lowassa alkatwa, Membe atakatwa na yeyote anayedhani anaweza kuwa juu ya CCM atakatwa tu na atang'ong'wa na hao anaodhani wanampenda kumbe wanatafuta pa kupumulia baada ya kufilisika kisiasa.

Labda tofauti ya hawa watu kwa Membe na Lowassa ni kwamba Lowassa walimtukana kwanza kabla ya kimtumia na sasa wanamuona mzigo, Kwa.Membe wameanza na kumpenda ili baadaye wamtumie na mwisho wake watamtukana na watamalizia na kumuona mzigo. Yote kwa yote hakuna atakayenufaika na kiki hizi, Siyo Membe, siyo Wapinzani wanaomtumia. Ni kama ilivyokuwa kwa Lowassa.

Nawasilisha
Haya mambo tunayoyafanya Watanzania MATOKEA yake tutayaona, huu mgawanyiko sijui nani atauponya, mipasuko yote huanza kwenye mambo madogo madogo na mwisho wake chuki kamili. Lengo nini hasa? Masilahi? Kyala atutuuleghe
 
Baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), bashiru Ally kumtaka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya nchi za nje, Benard Membe kwenda ofisini kwake kujibu tuhuma dhidi yake za kuanza Kampeni za kuwania urais 2020, Mwanasiasa huyo Mkongwe na anayesemekana kuitumikia taasisi nyeti ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania akiwa nje ya nchi aliitikia wito wa Dkt. Bashiru lakini akalalamikia utaratibu uliotumika kumuita huku akimtupia lawama mwanatauponya huru Cipryan Musiba kuwa ndiye aliyezusha madai kuwa anajiandaa na urais 2020.

Hata hazijapita siku mbili tangu KM kumtaka Membe aende ofisini kwake na Membe kuitikia wito, wamejitokeza marafiki zake wa.muda mfupi kurusha picha wakiwa naye na maneno ya hapa na pale kutaka kuuonesha Umma kuwa Membe ndiye na Wako na Membe na kamwe hawatamwangusha. Wanaahidi kula naye bata. Watu hawa ndiyo walewale ambao wamediriki hata kuhujumu jitihada za Serikali ya awamu ya tano katika kuleta maendeleo, Kupambana na ufisadi na kutetea rasilimali za Taifa. Mbaya kabisa watu hawa wanaweka picha wakiwa na Membe na wazungu ambao uvibaraka wao kwao katika kulihujumu taifa ndiyo kwanza umepamba moto. Wameshindwa hata kuficha hisia zao na kumfichia siri mbobezi wao kama wanavyomuita. Kwanini Watanzania tusiamini alichokisema KM B. Ally? Kwanini Watanzania tusiamini mbobezi wao yuko nyuma ya ukibaraka wao ili wampigie debe kuelekea 2020?

Niwakumbushe akina Zitto, Lema, Jusa, Yeriko Nyerere na weingine ambao leo ndiyo wamjazao upepo mbobezi wao kwamba, 2015 Membe na Lowassa waliingia tano bora kwenye kutafuta ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM lakini kukatwa kwa Membe haikuwa habari ya mjini bali kukatwa kwa Lowassa. Maana yake ni nini? Kama umaarufu wa kisiasa ungekuwa unaonekana na ukapinwa kwa urefu, basi Membe hamfikii Lowassa hata kwenye magoti. Lowassa alikatwa, akahamia Upinzani kwa mbwembwe, akateuliwa kugombea urais akakosa , hadithi ikaishia hapo na maisha yakaendeleo. Leo Lowassa anaonekana msaliti tena kwa Chadema kwa sababu tu ya kutaka angalau aonekane anazungumza na Mkuu wa nchi ikulu. Membe ni nani? Atakatwa, atahamia CHADEMA au ACT, mnajua hatakuwa na. Madhara yoyote kama ilivyotarajiwa kwa Lowassa, angalau Lowassa alifurukuta. Endeleeni kumjaza upepo bila shaka na nyie mmepata pa kupumulia baada ya kukosa hoja za kushindana na Serikai ya awamu ya tano, Serikali ya wanyonge, Serikali ya SGR, serikali ya stieglers Gorge, Serikai ya Madege, Serikali ya elimu bure, Serikali ya Maji kwa kila Mtanzania, Serikali ya Umeme nchi nzima, Serikali ya Barabara za juu na chini, Serikali inayowajali Wamachinga, Serikali ibayowatetea Wakulima wake waoate bei bzuri yq mazao yao, Serikali inayolinda rasilimali za nchi, Serikali inayopinga kwa nguvu zote Ushoga.

Aidha nimtahadharishe Membe. Apime uwezo wake na uwezo wa Lowassa kisiasa. Hawa wanaomjaza upepo leo ndiyo waliouanika ufisadi wa Lowasaa wakamuita kila aina ya jina mara Paka shume, mara Fisadi, mara jizi, ndiyo hao hao 2015 waliosema CCM haina uwezo wa kumkata Lowassa, Akakatwa akahamia. Kwao wakiamini sasa Upinzani unaingia ikulu kupitia yeye. CCM siyo Chama cha Mwenyekiti wa kudumu, CCM siyo chama. Cha Kiongozi wa Chama (Yule mwenyekiti alipoteuliwa kuwa RC basi Kiongozi wa Chama akavaa kofia zote, Chama kimebaki kuwa mali yake ). Lakini hata hivyo tangu lini Zitto, Lema, Yeriko Nyerere, Jusa na Upinzani kwa ujumla wao wakawa marafiki wa Membe? Lini? Labda mwenye kumbukumbu atuje.

CCM ni Taasisi, Lowassa alkatwa, Membe atakatwa na yeyote anayedhani anaweza kuwa juu ya CCM atakatwa tu na atang'ong'wa na hao anaodhani wanampenda kumbe wanatafuta pa kupumulia baada ya kufilisika kisiasa.

Labda tofauti ya hawa watu kwa Membe na Lowassa ni kwamba Lowassa walimtukana kwanza kabla ya kimtumia na sasa wanamuona mzigo, Kwa.Membe wameanza na kumpenda ili baadaye wamtumie na mwisho wake watamtukana na watamalizia na kumuona mzigo. Yote kwa yote hakuna atakayenufaika na kiki hizi, Siyo Membe, siyo Wapinzani wanaomtumia. Ni kama ilivyokuwa kwa Lowassa.

Nawasilisha
Haya mambo tunayoyafanya Watanzania MATOKEA yake tutayaona, huu mgawanyiko sijui nani atauponya, mipasuko yote huanza kwenye mambo madogo madogo na mwisho wake chuki kamili. Lengo nini hasa? Masilahi? Kyala atutuuleghe
 
Akiwa anajiamini kwa lugha ya utulivu amenukuliwa akisema 2020 Ni ikulu tu.

Katiba ya ccm inaruhusu mwanachama wake kuomba kura za wanachama kupewa ridhaa ya kupeperusha bendera kila baada ya miaka mitano ,,!

2020 mwenyekiti na Rais Magufuli atapata upinzani haitakuwa free ride Tena

Kina Membe wamejipanga kumtoa kwa kura halali za wanachama wa chama !

Wasiwasi unaomfanya Katibu mkuu wa ccm kuweweseka Ni baada ya wao kuwasukuma mbali wakongwe na maguru wa siasa za ccm !

Wakongwe wamejipanga haijawahi tokea

Mbali na Membe kundi hili Lina hidden weapons nyingi tofauti na ilivyokuwa kwa Lowassa alikuwa Ni yeye tu !

Kina Membe Wana options za watu zaidi ya sita na wanne wapo ndani ya Utawala wanajua mmoja anaweza kufanyiwa zengwe ila option zingine zitakuwepo ,.

Pamoja na kujipanga kwa wagombea kundi hili linajua fika mwenyekiti anaweza kutumia ubabe kwenye kura za maoni ikitokea hivyo wanapasua chama vipande vitatu

Wana ushawishi ila kubwa wafadhili wote wa ccm wapo kundi hili

Fedha sio shida

Kuna kundi kubwa la wabunge wakuu wa mikoa , DC, na kurugenzi wamekalia kuti kavu
Kwani kwasasa sio sera Tena Bali Ni jinsi wakubwa wanavyo kukubali hizi figisu linalifanya kundi la akina Membe kuwa na nguvu ya tsunami

Mpasuko uliopo ccm kwasasa Hakuna anayeweza kumaliza

Kwani tetesi zinasema ile machine ya ccm yote ipo na Membe na baadhi ya maraisi wastaafu
Yajayo Ni burudani
 
Tunashindwa kuamini kwamba hao jamaa ni vibaraka wa Membe kama unavyosema,lkn tuna uhakika kwamba wewe mleta uzi ndiye kibara mkuu wa utawala wa awamu ya 5,na unafanya kazi yako ya ukibaraka vizuri kama ulivyoagizwa na bosi wako
 
Baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), bashiru Ally kumtaka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya nchi za nje, Benard Membe kwenda ofisini kwake kujibu tuhuma dhidi yake za kuanza Kampeni za kuwania urais 2020, Mwanasiasa huyo Mkongwe na anayesemekana kuitumikia taasisi nyeti ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania akiwa nje ya nchi aliitikia wito wa Dkt. Bashiru lakini akalalamikia utaratibu uliotumika kumuita huku akimtupia lawama mwanaharakati huru Cipryan Musiba kuwa ndiye aliyezusha madai kuwa anajiandaa na urais 2020.

Hata hazijapita siku mbili tangu KM kumtaka Membe aende ofisini kwake na Membe kuitikia wito, wamejitokeza marafiki zake wa.muda mfupi kurusha picha wakiwa naye na maneno ya hapa na pale kutaka kuuonesha Umma kuwa Membe ndiye na Wako na Membe na kamwe hawatamwangusha. Wanaahidi kula naye bata. Watu hawa ndiyo walewale ambao wamediriki hata kuhujumu jitihada za Serikali ya awamu ya tano katika kuleta maendeleo, Kupambana na ufisadi na kutetea rasilimali za Taifa. Mbaya kabisa watu hawa wanaweka picha wakiwa na Membe na wazungu ambao uvibaraka wao kwao katika kulihujumu taifa ndiyo kwanza umepamba moto. Wameshindwa hata kuficha hisia zao na kumfichia siri mbobezi wao kama wanavyomuita. Kwanini Watanzania tusiamini alichokisema KM B. Ally? Kwanini Watanzania tusiamini mbobezi wao yuko nyuma ya ukibaraka wao ili wampigie debe kuelekea 2020?

Niwakumbushe akina Zitto, Lema, Jusa, Yeriko Nyerere na weingine ambao leo ndiyo wamjazao upepo mbobezi wao kwamba, 2015 Membe na Lowassa waliingia tano bora kwenye kutafuta ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM lakini kukatwa kwa Membe haikuwa habari ya mjini bali kukatwa kwa Lowassa. Maana yake ni nini? Kama umaarufu wa kisiasa ungekuwa unaonekana na ukapinwa kwa urefu, basi Membe hamfikii Lowassa hata kwenye magoti. Lowassa alikatwa, akahamia Upinzani kwa mbwembwe, akateuliwa kugombea urais akakosa , hadithi ikaishia hapo na maisha yakaendeleo. Leo Lowassa anaonekana msaliti tena kwa Chadema kwa sababu tu ya kutaka angalau aonekane anazungumza na Mkuu wa nchi ikulu. Membe ni nani? Atakatwa, atahamia CHADEMA au ACT, mnajua hatakuwa na. Madhara yoyote kama ilivyotarajiwa kwa Lowassa, angalau Lowassa alifurukuta. Endeleeni kumjaza upepo bila shaka na nyie mmepata pa kupumulia baada ya kukosa hoja za kushindana na Serikai ya awamu ya tano, Serikali ya wanyonge, Serikali ya SGR, serikali ya stieglers Gorge, Serikai ya Madege, Serikali ya elimu bure, Serikali ya Maji kwa kila Mtanzania, Serikali ya Umeme nchi nzima, Serikali ya Barabara za juu na chini, Serikali inayowajali Wamachinga, Serikali ibayowatetea Wakulima wake waoate bei bzuri yq mazao yao, Serikali inayolinda rasilimali za nchi, Serikali inayopinga kwa nguvu zote Ushoga.

Aidha nimtahadharishe Membe. Apime uwezo wake na uwezo wa Lowassa kisiasa. Hawa wanaomjaza upepo leo ndiyo waliouanika ufisadi wa Lowasaa wakamuita kila aina ya jina mara Paka shume, mara Fisadi, mara jizi, ndiyo hao hao 2015 waliosema CCM haina uwezo wa kumkata Lowassa, Akakatwa akahamia. Kwao wakiamini sasa Upinzani unaingia ikulu kupitia yeye. CCM siyo Chama cha Mwenyekiti wa kudumu, CCM siyo chama. Cha Kiongozi wa Chama (Yule mwenyekiti alipoteuliwa kuwa RC basi Kiongozi wa Chama akavaa kofia zote, Chama kimebaki kuwa mali yake ). Lakini hata hivyo tangu lini Zitto, Lema, Yeriko Nyerere, Jusa na Upinzani kwa ujumla wao wakawa marafiki wa Membe? Lini? Labda mwenye kumbukumbu atuje.

CCM ni Taasisi, Lowassa alkatwa, Membe atakatwa na yeyote anayedhani anaweza kuwa juu ya CCM atakatwa tu na atang'ong'wa na hao anaodhani wanampenda kumbe wanatafuta pa kupumulia baada ya kufilisika kisiasa.

Labda tofauti ya hawa watu kwa Membe na Lowassa ni kwamba Lowassa walimtukana kwanza kabla ya kimtumia na sasa wanamuona mzigo, Kwa.Membe wameanza na kumpenda ili baadaye wamtumie na mwisho wake watamtukana na watamalizia na kumuona mzigo. Yote kwa yote hakuna atakayenufaika na kiki hizi, Siyo Membe, siyo Wapinzani wanaomtumia. Ni kama ilivyokuwa kwa Lowassa.

Nawasilisha
Umeandika ushuuzi mtupu
TWENDE NA MEMBE 2020
 
mm kuna vitu sielewi??

kwan ni dhambi membe kuwa na nia ya kugombea 2020

akiamua kuanza kujipanga?? tatzo liko wap??

dhambi hao kina jusa kupiga nae pic muda huu??
 
Kwi kwi kwi kwi kwi
Inawezekanaje?Binafsi Sijaelewa Kwamba Membe Anaweza Vipi kumkwamisha Mhe Rais Kwa Kuanza Mchakato Wa Kampeni Mapema Kabla Ya 2020.

Naamini Mhe Rais Anapendwa Na Kuaminiwa Na Sisi Wana CCM Wote Pamoja Na Wananchi Kule Kwenye Vyama Vya Upinzani Na Wale Wasiokua Na Vyama Kabisa
 
Back
Top Bottom