Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Una uhakika hana asili ya Malawi?
nina hakika anacho cheti cha kuzaliwa,hakubebwa mgongoni na mama yake kuingizwa Tanzania na nina hakika atafutilia mbali sheria ya kudhulumu wastaafu,nina hakika pia atwekeza kwenye welfare ya watu kuliko majengo na ndege,nina hakika atakuwa Rais sio waziri wa ujenzi
 
Makamanda wana bore sana na hawajiamini. Yaani wanataka Kiazi na Kilaza kama membe awe rais wa Tanzania? Wanataka na makamba awe rais.... Jamaa wapo so desperate na stressful.

Membe hana akili nashangaa wanaolazimisha kudai ni jasusu mbobezi. Sijui kabobea kwenye nin ikiwa hata ukimsikiliza tu unamwona ni kilaza. Kwa style hii naona bora magufuli aendelee kuwa rais kuliko kumfikiria mtu bomu kama membe.
Bora tuwe na rais KIAZI lakini sio rais JIWE
 
Roho ya Ghadafi nayo imeamka inadai $20m zake ambayo membe alitakiwa kujenga kiwanda cha cement Lindi
Duh jamaa lina daiwa mpaka na wafu
Haya kesi hiyo Takukuru ingieni kazini
Mahakama Kuu jipangeni
 
nina hakika anacho cheti cha kuzaliwa,hakubebwa mgongoni na mama yake kuingizwa Tanzania na nina hakika atafutilia mbali sheria ya kudhulumu wastaafu,nina hakika pia atwekeza kwenye welfare ya watu kuliko majengo na ndege,nina hakika atakuwa Rais sio waziri wa ujenzi

Una uhakika anacho eeh?

Kiweke basi hapa.
 
Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.

makamanda si wamchague haongoze chama
 
Dignity ya makamanda uchwara iko wapi?
Ule upuuzi aliyo fanya bosi wao kuruka dhamana ndio wao wanaurudia kwa style nyingine
Ulofa na umaskini na roho mbaya ni kitu kimoja
LAZIMA MTU UJITHAMINI HAPA DUNIANI
SIO LIKITU LA KUPEPERUSHWA NA KILA MWENYE PESA AKUNUNUE TU
AIBU TENA NI AIBU KUBWA MAKAMANDA
HAKIKA MMEJISHUSHA HADHI VIBAYA SANA
Roho mbaya anayo mwenyekiti wako jiwe walahi

That's all walahi
 
To hell na Membe wao


Nyie makamanda nyie, mko desperate sana nyie.

Eti mnamtaka Membe ndo awe rais 2020.

Rais John Pombe Joseph ‘Jiwe’ Magufuli ni bora mara 100 kuliko huyo Membe wenu.

Acheni masikhara bana. Membe ni bomu kabisa. Bomu kushinda hata Magufuli.

Kuna mtu, ni Rutashubanyuma nadhani, aliwahi kusema Membe ana ‘limited brain power’.

Hiyo ni kweli kabisa. Afadhali hata Magu yeye tunajua na yeye mwenyewe anajua kuwa hajui Kiingereza.

Lakini huyo Membe wenu, awe anaongea Kiingereza chake cha pre-school au hata Kiswahili chake, anaboa kupita maelezo halafu ni kama analazimisha aonekane ana akili nyiiiiingi wakati hana lolote.

To hell na huyo Membe wenu.
 
Roho ya Ghadafi nayo imeamka inadai $20m zake ambayo membe alitakiwa kujenga kiwanda cha cement Lindi
Duh jamaa lina daiwa mpaka na wafu
Haya kesi hiyo Takukuru ingieni kazini
Mahakama Kuu jipangeni
roho ya ben saa nane nayo inadai haki yake
 
Back
Top Bottom