Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

2020 ni Membe
 
membe jembe sana ila navyoijua miccm ya huyu jamaa lazima wamwekee zengwe babu kubwa watamtafutia sababu yeyote ile ili asigombee mheshimiwa membe take care
 
Membe njoo utusukumie ndani rais wa watu wasiyo julikana.
 
Endeleeni kusubiria MELI airport, huyo labda awe Raisi wa TFF au WASAFI TV.
 
Munasemaje? Eti kuna watu walijiandaa kuwa marais na siyo magufuli! Semeni na mengine waliyojiandaa kufanya. Watu walijiandaaa hata kupiga nchi na kuna tawala wamepiga nchi, leo hii unashauri kwa akili yako eti kuna watu walijiandaa kuwa marais. Muhimu jiulize wakati akijiandaa alikuwa na malengo gani?
 
Staili ya uongozi wake ni kama wa JK watu hawautaki uongozi wa staili hiyo tena
 
Membe is brilliant na ana exposure tatizo ni utaratibu ndani ya CCM wa miaka 10 unaweza kumkwamisha
 
Mpaka unajionea huruma kumtetea muuaji ila bado watu wanakupinga
Mi mwenyewe muuaji, ukiingia kwenye anga nakula kichwa.Kidogo kidogo mtaelewa tu, kuna wakati ni muhimu kutumia elimination method, waliosoma hesabu wanaelewa.Una lingine?
 
Uchaguzi wa 2020 tayari umesha kwisha bado kuweka tu.
 
Mi mwenyewe muuaji, ukiingia kwenye anga nakula kichwa.Kidogo kidogo mtaelewa tu, kuna wakati ni muhimu kutumia elimination method, waliosoma hesabu wanaelewa.Una lingine?
Haaa muuaji unamtisha nani wewe na jiwe wote ni mikund*
 
Hahaha.. Umeshapanic.. Jipendekeze upotezwe si hamtaki kubadilika?.. Eti MEMBE!!???... Endelea kuota tu.
Haaaaa nimekushika kende kweli hakuna mbwa wa kunikamata, ila Membe anawatia hofu mpaka mnaharisha wenyewe
 
Nendeni nae atakachowafanya mtarudi kuhadithia, sio mtu mzuri yule kaishi Sana na wazungu ana tabia za kishenzi.
Tuliza mbunye wewe Jiwe ndo hana tabia za kishenzi, yaani uteke watu, upige risasi raia wako, ubambikie kesi watu, ukate watu pensheni, uminye uhuru, afu eti uyo ndo mzuri Membe mbaya..... Fyekelea mbali muhutu na wauaji, kama nyinyi ni mbwai njoo mnikamate
 
Hahaha...
 
Paskali, you have my respect bro. What a journalist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…