Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Mkuu usishangae waweza kukuta ni hawa hawa UFIPA waliokomalia hiyo SINGLE ya MEMBE mpaka ika expire Sasa kaamua kuja na ID mpya kwa kuona noma.Hawajui kuwa Membe kashaitwa na kupigwa mkwara kimya kimya baada ya kuonyeshwa ramani zake zote na kapewa WARNING ,next time ni kuvuliwa uanachama, katika vyama vyenye mikakati ya hatari Afrika mashariki,Kati mpaka kusini yote ogopa chama kinaitwa CCM. Sio cha kuchukulia poa, ukitaka ushahidi kamuulize NGOYAI na ROSTAM.Hawana hamu nacho
2020 ni Membe
 
Rais ajae Atakuwa na Kazi kubwa sana kuirudisha nchi kwenye mstari huyu kainyosha hadi imepinda na kukatika kabisa,ajae ana Kazi kubwa sana ya kulipa madeni kupunguza deni la taifa,kuinua uchumi mfu, kurejesha tija na morali ya Kazi kwa Watumishi, kuwasukuma ndani wasiojulikana, kujenga demokrasia, kuvutia na kushawishi wawekezaji, kurejesha diplomasia ya kimataifa, kupunguza ttzo la ajira,kuimarisha shillings yetu, kuujenga upya umoja wa kitaifa,kurejesha imani ya vyombo vya dola kwa wananchi, kufukua makaburi yote na kuwasukuma ndani wote waluotumia vibaya Madaraka, vibaya kodi zetu,kukaa kimya juu ya upotevu wa watu,kuinua elimu,kurejesha mifumo ya haki ya kodi, kuifufua Bandari iwe bize kama zamani,nk.Kazi ni kubwa si ya kitoto.Ajae awe na nyota ya Pesa na mwenye BARAKA kila kitu kitakuwa sawa.
membe jembe sana ila navyoijua miccm ya huyu jamaa lazima wamwekee zengwe babu kubwa watamtafutia sababu yeyote ile ili asigombee mheshimiwa membe take care
 
Endeleeni kusubiria MELI airport, huyo labda awe Raisi wa TFF au WASAFI TV.
 
Munasemaje? Eti kuna watu walijiandaa kuwa marais na siyo magufuli! Semeni na mengine waliyojiandaa kufanya. Watu walijiandaaa hata kupiga nchi na kuna tawala wamepiga nchi, leo hii unashauri kwa akili yako eti kuna watu walijiandaa kuwa marais. Muhimu jiulize wakati akijiandaa alikuwa na malengo gani?
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.

====
Staili ya uongozi wake ni kama wa JK watu hawautaki uongozi wa staili hiyo tena
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.

====
Membe is brilliant na ana exposure tatizo ni utaratibu ndani ya CCM wa miaka 10 unaweza kumkwamisha
 
Mpaka unajionea huruma kumtetea muuaji ila bado watu wanakupinga
Mi mwenyewe muuaji, ukiingia kwenye anga nakula kichwa.Kidogo kidogo mtaelewa tu, kuna wakati ni muhimu kutumia elimination method, waliosoma hesabu wanaelewa.Una lingine?
 
Habari za muda mabibi na mabwana!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.

Karibuni kwa maoni yenu.

====
Uchaguzi wa 2020 tayari umesha kwisha bado kuweka tu.
 
Mi mwenyewe muuaji, ukiingia kwenye anga nakula kichwa.Kidogo kidogo mtaelewa tu, kuna wakati ni muhimu kutumia elimination method, waliosoma hesabu wanaelewa.Una lingine?
Haaa muuaji unamtisha nani wewe na jiwe wote ni mikund*
 
Hahaha.. Umeshapanic.. Jipendekeze upotezwe si hamtaki kubadilika?.. Eti MEMBE!!???... Endelea kuota tu.
Haaaaa nimekushika kende kweli hakuna mbwa wa kunikamata, ila Membe anawatia hofu mpaka mnaharisha wenyewe
 
Nendeni nae atakachowafanya mtarudi kuhadithia, sio mtu mzuri yule kaishi Sana na wazungu ana tabia za kishenzi.
Tuliza mbunye wewe Jiwe ndo hana tabia za kishenzi, yaani uteke watu, upige risasi raia wako, ubambikie kesi watu, ukate watu pensheni, uminye uhuru, afu eti uyo ndo mzuri Membe mbaya..... Fyekelea mbali muhutu na wauaji, kama nyinyi ni mbwai njoo mnikamate
 
Tuliza mbunye wewe Jiwe ndo hana tabia za kishenzi, yaani uteke watu, upige risasi raia wako, ubambikie kesi watu, ukate watu pensheni, uminye uhuru, afu eti uyo ndo mzuri Membe mbaya..... Fyekelea mbali muhutu na wauaji, kama nyinyi ni mbwai njoo mnikamate
Hahaha...
 
Mkuu MoN, kwanza asante kwa bandiko hili,
Ukisema Membe aendelee kujiandaa kama ndio kibaraka wa US na EU anayeandaliwa kumreplace Magufuli, hapo tutakuelewa, lakini kwa sisi tunaomfahamu Membe, huyu huyu... bado sana kwa sababu, japo mimi sio CCM, lakini sii kweli kuwa CCM kuna mvutano wowote kuhusu uhalali wa watu wengine kugombea wakati the sitting president amemaliza term moja tuu, kwa sababu huo ndio utaratibu wao CCM, hakuna mwana CCM mwingine yoyote sio tuu kugombea, bali hata kufikiria kugombea.


Kwa Tanzania hii, kwa uchaguzi wa 2020, hakuna mazingira yoyote kumfanya Magufuli asidhinde unless kama ni yale ya EU na US kutuleta vibaraka wao, ila pia imeisha zungumzwa sana kuwa CCM itatawala milele.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. - JamiiForums

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums

CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? - JamiiForums




This is very valid point, hakuna ajuaye, hivyo hata ile ndoto ya Lema inaweza kutimia, ni muhimu vyama vikawa na succession plan, hii huwa inafanywa na the inner core, kisirisiri, CCM hii kitu ipo, angalia tarehe ya bandiko hili
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
hivyo wenye CCM yao, siku nyingi wameishaijua in an event of eventuality, who is who, lakini kiserikali, just in case of anything, kabla ya uchaguzi ni VP ndie ana take over.

Hili la succession plan, kwa Chadema, niliwahi kulizungumza na Dr. Slaa,
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena! - JamiiForums
Ila kwenye succession plan ki nchi, kiserikali na kiusalama, hakuna maandalizi yoyote ya mind set or change of arms kwa vyombo vyetu wa serikali, ulinzi na usalama kumtumikia CnC kutoka nje ya CCM.

Kwa upande wa sifa za Membe ni kweli anazo, ila hili likitokea, kuna akina sisi wengine, itatubidi tutafute pa kuhamia

Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!". - JamiiForums

Mimi mwenzenu nilikuwemo kwenye list hii
Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya! - JamiiForums
P.
Paskali, you have my respect bro. What a journalist
 
Back
Top Bottom