Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Hakuna kipindi Tanzania imejenga jina kimataifa kama kipindi cha Magu,


Hawa vibaraka wa wakoloni hatuwataki

Na Magu Will stay had 2040
 
Mkuu umejuaje?? Hiyo sentensi ya mwisho ni sahihi kwa 100%.

Mungu umpe nguvu Role model wangu. Kuwa na rolemodel kama Lissu binafsi kumenipa mafanikio makubwa sana ya kimaisha kuliko wakati wowpte ule katk uhai wangu.

Asante Mungu kutupa Mwenye Haki Lissu.
 
Nyinyi ndio mmekosa usingizi membe kawaweka pabaya
Ahhh wapi, wewe ni mpumbavu kweli kweli walahi
Hata kusoma alama za nyakati mnashindwa, kazi yenu ni kutaka kuwa madada poa sasa walahi
Siasa za kiume zimewashinda mnakimbilia siasa za mdundiko na singeli, dadeki mtavua suruale mwaka huu chadrama walahi
Nincompoop imbeciles walahi
 
Tundulissu msaliti hell no walahi
 
Leo membe membe... Uzi Ule kule CV yake... Huku upuuzi mwingine... Mna up post post ndo mnamharibia....
Magufuli oyeeeeeee....
 
Tundulissu msaliti Hell no walahi
CCM itawavua suruale boys ‘ in tundu lissu voice ‘
Mta..,ja...mba cheche chadrama walahi
 
Imetosha na iwe imetosha Bernard membe uko ccm ila kimsingi haya yanayotokea taifa halikuyategemea asilan hebu njoo uonyeshe kwamba unaweza kuwatoa ndugu zako katika uovu huu uliopo kwa hali ilivyo utaungwa mkono labda watu teke nchi nzima!!!
 
Imetosha na iwe imetosha Bernard membe uko ccm ila kimsingi haya yanayotokea taifa halikuyategemea asilan hebu njoo uonyeshe kwamba unaweza kuwatoa ndugu zako katika uovu huu uliopo kwa hali ilivyo utaungwa mkono labda watu teke nchi nzima!!!

Pambaf. Tokeni hapa na zezeta wenu Membe. Mmetumwa nini!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…