Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Niwazi kuwa kuna watu watatoka mapovu kwa ushauri huu, lakini hakuna jinsi dawa hata kama ni chungu ili tupone hatuna budi kuimeza, ukweli ni kwamba mh B C Membe ni mwanadiplomasia aliye bobea sana katika nchi yetu , ni kiongozi anayeweza kurudisha heshima yetu kama watanzania katika sura yake ile ya zamani.
Kulingana na hali ilivyo na hakuna asiyejua kuwa wananchi wana mhitaji MTU atakaye waletea faraja na kuwafuta machozi ambayo kila mmoja Amelia kwa njia zake wengine sasa imebaki na michirizi mashavuni mwao huku wakiwa wamekata tamaa kwani haijui hatma ya kesho yao, bomoa bomoa imeliza wengi , wanafunzi katika vyuo vikuu wamebaguliwa kwenye mikopo, ajira imekuwa nikilio kisicho koma kila kukicha, wakulima ndo usiseme hawajui hatma yao nini ukianzia kwenye pembejeo hadi kwenye masoko kwao ni giza tu, wafugaji hawana maskani katika nchi yao kila wanapo hamia kwa ajili ya kulisha mifugo wanaonekana kuwa maadui wanafukuzwa wamebaki kutanga tanga ndani ya nchi yao,wavuvi ndo usiseme nyavu zimechomwa kwa kile kinacho itwa nyavu haramu bila ya kuonyesha mkakati wa kuzileta hizo nyavu bora, wafanyakazi wamesha nyanyaswa mpaka basi, mishahara haipandi , madaraja hawapandishwi, wafanya biashara ndo usiseme wamebanwa na mfumo wa kodi usio kuwa rafiki na biashara zao. Yapo mengi sana.
Na ndio maana mwanadiplomasia makini kama Membe ana hitajika, awe ndani ya CCM au hata nje ya CCM , umefika muda muafaka sasa jitokeze 2020 watanzania wakupe kura za kutosha na bado nasema Membe unatosha sasa kuingia ndani ya gari letu ,funga mkanda, shika usukani, washa gari safari mpya ianzwe.
Hakuna kipindi Tanzania imejenga jina kimataifa kama kipindi cha Magu,


Hawa vibaraka wa wakoloni hatuwataki

Na Magu Will stay had 2040
 
Aaahh kwa haraka haraka utagundua Vijana wa Lumumba upande wa Jiwe ndo hawahawa walofungua nyuzi zakujifanya wanampenda Membe ,ili mradi tu kujaribu kupenyezesha mpango wa membe alonao.

Hapo ndo tunarudi kulee ,jiwe alipopiga marufuku wanachama kuanza kuanza kupiga kampeni zao mapema.


Kwa ufupi..ukiwa na akili ya kawaida, utaona km ni Wafuasi wa membe...lkn kihalisia ni wafuasi wa JIWE ..namwisho Membe atajitoa mwenyewe..

Kimkakati, na Membe ni Mwanasiasa Nguli na mzito WALA HAWEZI KAA AANZISHE VIJIKAMPENI VYA KIPUUZI NAVYOVIONA HUMU .


Hata ivo Rais Ajaye ni Tundu Lissu .
Mkuu umejuaje?? Hiyo sentensi ya mwisho ni sahihi kwa 100%.

Mungu umpe nguvu Role model wangu. Kuwa na rolemodel kama Lissu binafsi kumenipa mafanikio makubwa sana ya kimaisha kuliko wakati wowpte ule katk uhai wangu.

Asante Mungu kutupa Mwenye Haki Lissu.
 
Nyinyi ndio mmekosa usingizi membe kawaweka pabaya
Ahhh wapi, wewe ni mpumbavu kweli kweli walahi
Hata kusoma alama za nyakati mnashindwa, kazi yenu ni kutaka kuwa madada poa sasa walahi
Siasa za kiume zimewashinda mnakimbilia siasa za mdundiko na singeli, dadeki mtavua suruale mwaka huu chadrama walahi
Nincompoop imbeciles walahi
 
Mkuu umejuaje?? Hiyo sentensi ya mwisho ni sahihi kwa 100%.

Mungu umpe nguvu Role model wangu. Kuwa na rolemodel kama Lissu binafsi kumenipa mafanikio makubwa sana ya kimaisha kuliko wakati wowpte ule katk uhai wangu.

Asante Mungu kutupa Mwenye Haki Lissu.
Tundulissu msaliti hell no walahi
 
Leo membe membe... Uzi Ule kule CV yake... Huku upuuzi mwingine... Mna up post post ndo mnamharibia....
Magufuli oyeeeeeee....
 
Aaahh kwa haraka haraka utagundua Vijana wa Lumumba upande wa Jiwe ndo hawahawa walofungua nyuzi zakujifanya wanampenda Membe ,ili mradi tu kujaribu kupenyezesha mpango wa membe alonao.

Hapo ndo tunarudi kulee ,jiwe alipopiga marufuku wanachama kuanza kuanza kupiga kampeni zao mapema.


Kwa ufupi..ukiwa na akili ya kawaida, utaona km ni Wafuasi wa membe...lkn kihalisia ni wafuasi wa JIWE ..namwisho Membe atajitoa mwenyewe..

Kimkakati, na Membe ni Mwanasiasa Nguli na mzito WALA HAWEZI KAA AANZISHE VIJIKAMPENI VYA KIPUUZI NAVYOVIONA HUMU .


Hata ivo Rais Ajaye ni Tundu Lissu .
Tundulissu msaliti Hell no walahi
CCM itawavua suruale boys ‘ in tundu lissu voice ‘
Mta..,ja...mba cheche chadrama walahi
 
Imetosha na iwe imetosha Bernard membe uko ccm ila kimsingi haya yanayotokea taifa halikuyategemea asilan hebu njoo uonyeshe kwamba unaweza kuwatoa ndugu zako katika uovu huu uliopo kwa hali ilivyo utaungwa mkono labda watu teke nchi nzima!!!
 
Imetosha na iwe imetosha Bernard membe uko ccm ila kimsingi haya yanayotokea taifa halikuyategemea asilan hebu njoo uonyeshe kwamba unaweza kuwatoa ndugu zako katika uovu huu uliopo kwa hali ilivyo utaungwa mkono labda watu teke nchi nzima!!!

Pambaf. Tokeni hapa na zezeta wenu Membe. Mmetumwa nini!!!!!
 
Back
Top Bottom