Ukimlinganisha membe aliyekuwa ofisi ya rais toka mwaka 1975 na huyo mjamaa wako ambae mpk mwaka 1995 hakuwahi kufika posta magogoni nani anastahili kejeli zakoMembe wenu kama mnampenda mnunulieni soda anywe Ikulu hapawezi, ngoma ya kitoto haikeshi.
We nani kwani uamulie watu cha kukipenda nenda zako hukoPambaf. Tokeni hapa na zezeta wenu Membe. Mmetumwa nini!!!!!
Hakuna kama Magu wote mnajua, Kamuulize Mzee Kitine atakuambia, mengine humu sio mahali pake.Ukimlinganisha membe aliyekuwa ofisi ya rais toka mwaka 1975 na huyo mjamaa wako ambae mpk mwaka 1995 hakuwahi kufika posta magogoni nani anastahili kejeli zako
Usimlinganishe membe wa 1975 na MTU ambae mpk Leo toka apewe ufalme anaogopa kwenda nyuyoko London Paris nk
Membe hana madhara kwa sasa,anywe kahawa tu,Urais sio kila mtu anaweza kuupataHabari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
Aliekuambia Mbeya wametengwa naniKwakweli WanaJF tujaribu kuwa na kiasi angalau kuhusu hili la Mzee Membe. Kulingana na mwenendo wa hali ya kisiasa hapa nchini kitu kikimkwaza π΅huwa anaonesha wazi kuwa huyo anayewavutia wengi ni kikwazo kwake katika mikakati yake ya kulazimisha kukubaliwa na hadhira yake. Kwasababu hii tu, naomba tuwe na kiasi kuhusu Membe tutamchonganisha na π΅ pia tutawasababishia wa Kusini kutengwa kimoja kama Mbeya...
Upinzani ndani ya CCM. Mtasabababisha Jiwe azime mitandao yote ili mkose pakukutania na kupanga njama za kumpindua.Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
bora membe mara mia moja. majuto ni mjukuu.
Wajumbe wa kamati kuu na mk7tano mkuu kashaweka watu wake.Mkuu vitu vingine unapaswa utafakari sana. Hivi unadhani kwamba Raisi Magufuli kama Mwenyekiti wa CCM atajiweka kwenye mazingira ya CCM kuteua mgombea wa CCM mbadala wake? HUyu Magufuli ninayemfahamu au mwingine? Au hujaona tayari ameshajiwekea mazingira kwamba hilo lisiwezekane hata kidogo?
Tatizo hamfatilii mambo,Katiba ya CCM ilishabadilishwa rais katika awamu ya kwanza hatakiwi kuchalenjiwa ndani ya chama katika kugombea awamu ya pili,so anapita bila kupingwa....Brothers and Sisters.
We wanted Bernard K Membe to be handed power peacefully before 2020 but due to the respect and adherent of constitution we had no choice but to wait for those two years which is like ages.
So we are just putting this clear that there should be a smooth transion of power to Membe 2020. This should be done peacefuly with utmost public trust.
Our nation is in turmoil as if there no one there to manage. Everything is going down politically, economically and socially. There is meltdown in everything because of mismanagement.
We need a presidential material who will bring back the faith and trust of Tanzanians. Who will fight the just cause of economic stability in every aspect of national interest.
And there is no one can do all these except the undisputed intelligence officer and charismatic, smart and brilliant diplomat BERNARD KAMILLUS MEMBE.
πππππ Tysonππππππ
Muulize malaika mwema kama ameshampatia kazi ya unyapara wa malaika rais namba moja. Maombi aliyatuma kitambo.Ni malaika mwema ameniagiza. Nawaomba wazee wa CCM walione hili na kulitafakari kwa kina.
Jina gani? Zaidi ya kutishana na Nissan nyeupe!Hakuna kipindi Tanzania imejenga jina kimataifa kama kipindi cha Magu,
Hawa vibaraka wa wakoloni hatuwataki
Na Magu Will stay had 2040
twende nae wapi wakati katiba ya chama ilibadilishwa kuruhusu Raisi apite bila upinzani?Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
Wewe uko kwenye CC au NEC ya CCM ? Maana huko ndio mambo huanzia na kuishiaπππHabari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
Hawa machandrama makalio yana washa wanammzea mate babu Membe , uwiii chadrama mmeoza kweli kweli walahitwende nae wapi wakati katiba ya chama ilibadilishwa kuruhusu Raisi apite bila upinzani?