Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Membe wenu kama mnampenda mnunulieni soda anywe Ikulu hapawezi, ngoma ya kitoto haikeshi.
Ukimlinganisha membe aliyekuwa ofisi ya rais toka mwaka 1975 na huyo mjamaa wako ambae mpk mwaka 1995 hakuwahi kufika posta magogoni nani anastahili kejeli zako

Usimlinganishe membe wa 1975 na MTU ambae mpk Leo toka apewe ufalme anaogopa kwenda nyuyoko London Paris nk
 
Hakuna kama Magu wote mnajua, Kamuulize Mzee Kitine atakuambia, mengine humu sio mahali pake.
 
Membe hana madhara kwa sasa,anywe kahawa tu,Urais sio kila mtu anaweza kuupata
 
Aliekuambia Mbeya wametengwa nani
 
U
Upinzani ndani ya CCM. Mtasabababisha Jiwe azime mitandao yote ili mkose pakukutania na kupanga njama za kumpindua.
 
Wajumbe wa kamati kuu na mk7tano mkuu kashaweka watu wake.
 
Tatizo hamfatilii mambo,Katiba ya CCM ilishabadilishwa rais katika awamu ya kwanza hatakiwi kuchalenjiwa ndani ya chama katika kugombea awamu ya pili,so anapita bila kupingwa....
 
Hakuna kipindi Tanzania imejenga jina kimataifa kama kipindi cha Magu,


Hawa vibaraka wa wakoloni hatuwataki

Na Magu Will stay had 2040
Jina gani? Zaidi ya kutishana na Nissan nyeupe!
 
Kumekuwa na ubishani mkubwa kwamba Membe hawezi kumtoa Magufuli 2020 kwa sababu katika historia ya Tanzania hilo halikuwahi kutokea. Mimi nasema hapana,yote yanawezekana na sababu zipo lukuki!

Nikiangalia kwa upande wa CCM Mwanadiplomasia Bernard Membe ndiyo mtu pekee anayeweza kupindua meza kibabe pale CCM.

Acheni mawazo duni. Mbona babu zetu waliamini Nyerere na wenzake wangeweza kupindua meza kibabe ya mkoloni. Iliwezekana vipi?Ni mikakati kabambe inahitajika na siyo jambo la kitoto.

Sababu za Membe kufanikiwa hili ni nyingi kuliko kushindwa kwake.

1. Kutokubalika kwa Magufuli ndani na nje ya CCM

2. Kukosekana kwa utengamano wa kweli

3. Nia ya kuirudisha Tz kimataifa

4. Nia ya kurudisha mchakato wa Katiba ya Watanzania

5.nk

........... itaendelea(nitafafanua)
 
twende nae wapi wakati katiba ya chama ilibadilishwa kuruhusu Raisi apite bila upinzani?
 
Wewe uko kwenye CC au NEC ya CCM ? Maana huko ndio mambo huanzia na kuishiaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
twende nae wapi wakati katiba ya chama ilibadilishwa kuruhusu Raisi apite bila upinzani?
Hawa machandrama makalio yana washa wanammzea mate babu Membe , uwiii chadrama mmeoza kweli kweli walahi
Pathetic DNA walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…