A million dollars question!Hivi Magu kwa nini anamuogopa sana Kachero
Wenye chama wana akili, uwezo na nguvu kuliko huyo jiwe, wanamuangalia tu jinsi anavyorukaruka na ubabe wake...Mnazan mabadiliko aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya yatamruhusu membe hata kuchukua fomu?.... MARK MY WORD MAGUFULI KWA UBABE ATAPITA BILA KUPINGWA NDANI YA CCM,, HAKUNA MWANA CMM ATAKAE CHUKUA FORM
Aisee! KumbeHe is ccm himself
Wanashangaza sana...Unajua naishangaa hii mijitu.
Dah...wananchi gani mkuu? Hawa waliotaabika miaka 3 nyuma? Au Hawa wanaotaabika kwa miaka 3 sasa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Membe 2020
Yes he can!
Cammilius Songa mbele mzee baba
Kosa siyo kufanya kosa
Kosa ni kurudia kosa!
Cha maana utuonyeshe kuwa kweli unautaka uraisi
Na uwe jasiri kuchukua fomu
The rest atuachie sisi wananchi!
1. Kuna kambi imevurugwa haswaWanashangaza sana...
Mjadala huu hata sijui umetokea wapi..maana tangu juzi Membe anatajwa sana huu. Nafikiri kuna kambi imevurugwa huko Lumumba.
Wacha tuwaone.
.......Haaa haaa yani siku so nyingine TCRA wanaifunga hii JF baba Jessica sidhani kama anapenda hii mijadala kwa sasa
Kanda inayotoa rais miaka yote ni kanda ya ziwa usijipe moyo. Ni maumivuHivi katiba ya chama chini ya mwenyekiti huyo huyo haiwezi kumuondoa mwenyekiti???
Ungekuwa pia una muelewa Membe vizuri kindaki ndaki ungeona kuwa membe ni zaidi magu. Missions zake ni za hatari... Viongozi wenyewe wana fahamu... Magu Ana fahamu... Ni mkimya mwenye hatari ndani yake...
Nisimuongee Sana... Subirini kamati kuu ya wana pwani na kusini... Ndipo utajua msukuma Ana nguvu... Au Kama maneno yasemayo msukuma msukume arudi kwao mwanza...
Stay there bro... Usiwe na haraka... Hakuna linalo shindikana chini ya jua...
Yote sahihi..1. Kuna kambi imevurugwa haswa
Au
2. Yeye mwenyewe kaamua kuanza kiivi
Hahaha baelezee. Hans Kitine jabariTeh teh ana nguvu gani sasa?hizo mission za hatari unazosema zilizoshindwa kumfanya akavuka ndani ya CCM 2015 ni zipi tena rafiki yake kipenzi JK akiwa mwenyekiti wa CCM.
Kama angekua na hizo mission za hatari unazosema kwaninihao hao TISS hawakumpigania mpk atoboe kwny michuano instead akapigwa chini kama kawa.
Membe hata kwa ubavu na lowassa kwny mikakati hamuwezi hata kidogo,cheki Lowassa baada ya kapigwa chini na CCM kumbe ana plan B yake kwenda CDM fasta tu wkt Membe yeye yuko Mtama huko.Huyo mtu unamsifiaje ni mtaalam wa strategy?
By the way mtasalimia Mzee Hassy Kitine nadhani unanielewa hapa.
Hio kamati kui ya pwani na kusini inakaa lini ili nije nikukumbushe hapa.
Mkuu mi nashangaa...sana.
Yani licha yaMapungufu yote ya awamu hii ila huyo Membe hafai hafai hafaaaiiii...
Alafu ni ccm wenyeweUnajua naishangaa hii mijitu.
Akipendwa na majority, inatosha...mbona mimi na familiar yangu hatupendi...!!? Au tutakuwa wa Nigeria !?
Hahaha, kwani hajawamiss watanzania? Kama tulivyommiss?Baada ya kukutana na wewe kama dakika kumi hivi nilifanya naye mazungumzo, akaniambia huyu jamaa Musyoks sio wa kumwamini kabisaa. Unamwambia hivi yeye anabadilisha maneno anasema vile.
Watanzania wapenda maendeleo, kama wanachama wa JFKwanini salaam za Membe ni muhimu? Membe alisema amemmiss nani hasa? JF au?