Ni muhimu sana, kwa mustabakabali mzima wa afya ya diplomasia yetuKwanini salaam za Membe ni muhimu? Membe alisema amemmiss nani hasa? JF au?
Haya, tumepokea.Watanzania wapenda maendeleo, kama wanachama wa JF
HahahahahahahaaaaJamani hili dili la kumsifia Membe linapatikanaje?
Hela za Lowassa zilinipita, hizi za Membe zisinipite kabisa.
Kwanini hafai?Mkuu mi nashangaa...sana.
Yani licha yaMapungufu yote ya awamu hii ila huyo Membe hafai hafai hafaaaiiii...
Mkuu hizo ni fitina unamfundisha mkuuNΓ ona ccm wanaanza kutwanagana wait kwa wao , huo ndio mwanzo wa anguko,
Namshauri magufuri afanye haya kabla na baada ya 2020
1.. hakikisha wajumbe wa NEC ya ccm wawe upande wako kwa asilimia kubwa Kama alivyokuwa amejipanga lowassa
2.. hakikisha sehemu nyeti za ccm na serikali zinashikwa na watu wako
3.. hakikisha hakuna mpinzani atakayepita uchaguzi wa 2020
4.. hakikisha ubunge wa ccm unakuwa wa wale walio upande wako,
, wale wanaokupinga au Wana dalili hizo wafyekelee mbaalii
5... Kwakuwa miradi ni mingi yenye manufaa kwa taifa , fanya mapinduzi ya katiba ili uwe na mda wa kuyamaliza
nafikiri hujabadili gia angani bali umebadili aina na mbinu za kupiganaView attachment 913562
Kila niionapo hii picha huwa nafarijika sana huku nikiwaza siku yake ya kuapishwa pale uwanja wa Taifa akinamama akina baba wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu watakavyozimia kwa furaha.
Toka mfumo wa vyama vingi uanze. Upinzani ndani ya ccm kumpinga rais aliyeko madarakani upo.mwaka 2000 bwana Mnasa kutoka Musoma alichukua form kumpinga mkapa, 2010 Magere Shibuda alimpinga JK.so hata BCM ajitutumue nayo yatapitaMmetumwa kupima upepo humu,sio bure! Au mnaona kasahaulika eeeh! Mwambie atulie,uongozi kupokezana vijiti!
jambo la kwanza ajiandae vilivyo kwa figusi, nashauri awe na walinzi ambao ni well trainedMembe 2020
Yes he can!
Cammilius Songa mbele mzee baba
Kosa siyo kufanya kosa
Kosa ni kurudia kosa!
Cha maana utuonyeshe kuwa kweli unautaka uraisi
Na uwe jasiri kuchukua fomu
The rest atuachie sisi wananchi!
Umedanganya Hapa, JPM ni kipenzi kweli kweli cha wana CCM Wanyonge sio Mabepari1. Kutokubalika kwa Magufuli nd
Unajua kunajamaa anasura kama yako huko kijijini kwao Lufindo mkoa wa geita baada kupibwa X-ray ya kichwa madokta walipigwa na butwaa sana baada kugundua jamaa hana Ubongo mbaka leo anaishi na ni memba wa JF anajiita Roho mbaya sijui ana maana gani nadhadha ana maana rohonzuri,ila wale madokta wanastahili pongezi baada kuukosa ubongo wakashindilia ugali wa uwele.Dah...kuchanganya mapenzi ya kweli ya nchi na huyu jamaa ni kuitusi Tanzania...[emoji41]
Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.
Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.
Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.
Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
hana mpya mpe salam piaSawa tumezpokea
Japo sielewi hii morale ya kumsifia Membe kwa kasi huku mitandaoni mnaitoa wapi, naamini sio bure kuna cha ziada
Una ajili sana. Nimefurahia komenti yako: "... na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko..."Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.
Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.
Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.
Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
πππππ daaahMimi nimekutana na hili JABALI la siasa. Linawatakia mchana mwema.View attachment 913916
Mbona Membe ndiye domokaya kabisa. Kuna sehemu yoyote ya hotuba ya Membe ulishamuona Membe ameongea kitu chochote cha kukufanya umtofautishe na wengine wasio na sifa?Kwa taarifa yako na hili bandiko lako refu JK alimtaka Membe na kwa sababu ya hiyo nguvu ya Lowassa ndani ya ccm ndio iliyopelekea Magufuli kuitwaa hiyo nafasi. Usitake kumpa JK sifa asiyokuwa nayo. Na huyu Magu na vile hawezi siasa za ushawishi ndio atapigwa chini kirahisi. Huu ndio mwisho wa kikundi cha utekaji na kupiga risasi wengine.
Sio rahisi kutokana na mizizi ambayo ccm imejichimbia na serikali.Serikali hii ni Tukufu haifanyi makosa na hata ikifanya hakuna wa kuiwajibisha.Jeshi,Nec na wananchi wote wanaiogopa serikali.Ndio maana kwa mawazo haya ya upinzani, CCM kuitoa madarakani itakua sio mchezo rahisi.
Magu ndiye Mwenyekiti wa CCM,Amiri jeshi mkuu,"sponsor mkuu",Anateua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi etc na kwa mujibu wa katiba hii ya sasa he's the most powerful man in the country.
Sasa huyo Membe unayemsema sijui ana nini cha kumfanya awe powerful kiasi cha kumteteresha Magu?usije ukaanza kusema ooh sijui ni "spy master" maana ndio story zenu za gahawa.
Simtetei Magu lkn huo ndio ukweli na sanasana hizi thread zinampa Membe tabu sana huko aliko,2020 tuombe uzima hakuna wa kum challenge Magu sanasana tuwaze 2025 kama atakubali kutoka madarakani.
Akitekwa shauri yenu!Membe, kipenzi cha watanzania...