Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Watanzania always huwa tunafikiri the next is better than the prev, wakuu, huyu mkwere mm simfagilii hata kidogo, kwanza ni mdogo wake na mkwere yule aliyepita, hivyo tunarudi kulekuleeeeeeee, picnic za majuu kila weekend na mtaanza kulalamika soon kwamba afadhali jiwe angeendelea tu, kitu ambacho mtakuwa mmechelewa miaka miamoja. Binafsi jiwe angeendelea kwa miaka mingine 20 ingekuwa poa sana sababu naona kabisa nchi inajongea na maendeleo yanaonekana kwanmacho.
 
Watanzania always huwa tunafikiri the next is better than the prev, wakuu, huyu mkwere mm simfagilii hata kidogo, kwanza ni mdogo wake na mkwere yule aliyepita, hivyo tunarudi kulekuleeeeeeee, picnic za majuu kila weekend na mtaanza kulalamika soon kwamba afadhali jiwe angeendelea tu, kitu ambacho mtakuwa mmechelewa miaka miamoja. Binafsi jiwe angeendelea kwa miaka mingine 20 ingekuwa poa sana sababu naona kabisa nchi inajongea na maendeleo yanaonekana kwanmacho.

Kwani kila mkwere ni mtu wa kwenda kula bata majuu? !
 
twende na membe

ingawa wakati anatangaza nia ya kugombea urais 2015 kule jimboni kwake mtama alikua ni mmoja kati ya watu ambao nimewahi sikia wakitoa speech mbovu kabisa ndani ya kipindi chote cha maisha yangu,so probably ni moja kati ya watu weupe sana kichwani.

ila kwa hali iliyopo sasa tunamtaka BERNARD MEMBE namtaka Membe,Membe pekee atatuvusha 2020.

Simtaki jiwe hata dakika moja
 
Ule uwanja wa ndege uliojengwa kule chattle tutaufanyaje? Nao utafaa kupigwa bei?
Ule utasaidia kutengeneza wana Riadha wengi Sana utachorwa mistari vijana wanautumia kufanyia mazoezi!
 
MENDENI SEGEREA VIJANA WADOGO MKAMTAKIA HALI DJ ACHENIKUSHINDA MITANDAONI KWA AJILI YA VISENTI ALIVYO WAPA BOWL MOVEMENT
926B7ABD-600B-4C6B-A567-3ACE9BABC8D0.jpeg
 
Msishabikie haya mambo wakuu, msidhani mazuri, sisi rais wetu tunamjua ni magudfuli (the best president in africa) hadi 2025 so huyu membe wenu mtafutieni nchi ya kutawala sio Tanzania yetu
 
Watanzania always huwa tunafikiri the next is better than the prev, wakuu, huyu mkwere mm simfagilii hata kidogo, kwanza ni mdogo wake na mkwere yule aliyepita, hivyo tunarudi kulekuleeeeeeee, picnic za majuu kila weekend na mtaanza kulalamika soon kwamba afadhali jiwe angeendelea tu, kitu ambacho mtakuwa mmechelewa miaka miamoja. Binafsi jiwe angeendelea kwa miaka mingine 20 ingekuwa poa sana sababu naona kabisa nchi inajongea na maendeleo yanaonekana kwanmacho.
Umekunywa mbege wewe au ulanzi [emoji28]
 
MEMBE for president... Twende na memb #chocheachochea
Nyinyi ndo mtakaofanya Jf ifungiwe sio kwa mihemko hiyo, lakini kingine sisi watanzania tunaongoza kwa unafiki, kwani hata miaka ya nyuma watanzania hawa hawa walipiga kelele sana kwamba nchi imeuzwa kila mtu anachukua chake bora utawala unaokuja lichukue jeshi au itokee vita ndo akili zetu zitakaa sawa.
Sasa basi amekuja rais ambae anafanania uongozi wake na jeshi cha ajabu watanzania hao hao tunapiga kelele tena ooh rais gani hatufai rais dicteta kama si unafiki ni nini? Je kama kweli nchi ingechukuliwa na jeshi kama watu walivokua wanaombea mnafikiri tungekua katika hali gani au kungetokea vita kama watu walivokua wanaombea tungekua katika hali gani hapo ndipo utakapojua kua watanzania ni wanafiki kupitiliza hatujui tukitakacho, kila siku porojo za unafiki tu.
 
Msimsahau dj segerea jamani
Angalau kumjalia hali walahi
 
Back
Top Bottom